ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
mwanamalundi na wewe, mada yenye mantiki hi ipi hasa
Anzisha mada yenye mantiki. Kwa mawazo yako, unaona hii ni mada kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzisha mada yenye mantiki. Kwa mawazo yako, unaona hii ni mada kweli?
nimesoma chuo kikuu cha udaktari nchini India. prof aliyekuwa akinifundisha aliniambia mimba kuwa qualified kuitwa 'kubwa' inatakiwa kuwa imefikia urefu wa futi 245 na upana futi 0.5. any more question?Mimba kubwa ndo inaurefu wa futi ngapi tena?
Mimba kubwa ndo inaurefu wa futi ngapi tena?
nimesoma chuo kikuu cha udaktari nchini India. prof aliyekuwa akinifundisha aliniambia mimba kuwa qualified kuitwa 'kubwa' inatakiwa kuwa imefikia urefu wa futi 245 na upana futi 0.5. any more question?
Duh. Huyo prof. wako mkaree. Hizo futi ni sawa na meta 74
Hiyo ni tabia yake.Mimba haihusiani na hilo.mwanzoni hakuwa hivyo, ila sikuwa kuishi naye kwa muda mrefu akiwa hana mimba, sasa nashindwa kuelewa alificha makucha au ni kwa sababu ya mimba! Na mimba yenyewe ni kubwa. Mwenye exprience tafadhali ?