Hivi mambo ya Ulinzi ya Muungano inakuwaje Rais wa Zanzibar badala ya Makamu wa Rais anawakilisha Jamhuri?

Hivi mambo ya Ulinzi ya Muungano inakuwaje Rais wa Zanzibar badala ya Makamu wa Rais anawakilisha Jamhuri?

Makamo mwenyewe yupoyupo tu kama chips zilizolala hata haeleweki
Hakika, nimecheekaaah! Sijui nimekula maharage ya wapi?? Nakubaliana nawe kabisa.

Yule Mpango kiukweli simuelewi, sometimes YES sometimes NO.
Katiba tukisema kuna haja ya kuanzishwa mchakato wa katiba mpya, tunazomewa.
Wacha watawala waisigine mpaka iote sugu.

Mie nilifikiri ulinzi na usalama ni suala la muungano, ndiyo maana kambi za wajedaa tokea bara zipo na visiwani.
Au team iliyotegemea kusafiri nje ya nchi, imedhurika.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Waziri wa Ulinzi ni Ceremonial Figure hata VP mwenyewe yupo yupo tu unless litokee kama lilotokea kwa mwendazake
Infact Cheo cha VP na Minister of Defence kwa muundo wetu vipo vipo tu na ukikaa vibaya wengi wanakuvimbia tu , JR ame serve for a while na ana security clearance kubwa tu
Kwahiyo kwenye utendaji haswa kwenye kutekeleza makubaliano ya Ulinzi na JWTZ, Rais Mwinyi huja Dar kuwasilisha maadhimio ya SADC? Au Mwinyi huwasilisha maadhimio halafu Rais Samia hum-bypass waziri wa Ulinzi na kuwasilisha maadhimio kwa jeshi kupitia CDF? Mie sielewielewi hii hierachy of engagement inakaajekaaje?

Mama Samia anapaswa ajitambue yeye nani na aache mambo ya Si-Bromance na afuate utaratibu. Au ndo kumuandaa Mwinyi kupokea Kijiti baada yake?
 
Kama alipokuwa tume ya mipango aliboronga, akawa waziri wa fedha akawa anapika takwimu (fake data) sasa kwenye ulinzi si ataliangamiza Taifa?
Upeo wako but,Magufuli anajua alifanya vizuri ndio maana akamteua na Samoa Naye anajua alifanya vizuri ndio maana kamuweka kuwa makamu.

Shida ya Afrika huwezi kuperform fully kwa kuwa anayekuteua anataka ufanye kwa niaba yake, tofauti na wenzetu unateuliwa lakini unafanya kwa niaba ya watu.
 
Samia anafanya makosa kila mija anatambua lakini nani wa kumfunga paka kengele
 
Tumuache mama afanye kazi kama katiba Magufuli aliivunja sana tu mbona ulikaa kimya, tena alikuwa akisema. "haya masheria saa nyingine yanatuchelewesha" akawa anachepuka nyinyi mkawa mnashangilia sasa kaingia Mama kwa kuwa sio timu yenu mnataka kumvuruga.
 
Kwahiyo kwenye utendaji haswa kwenye kutekeleza makubaliano ya Ulinzi na JWTZ, Rais Mwinyi huja Dar kuwasilisha maadhimio ya SADC? Au Mwinyi huwasilisha maadhimio halafu Rais Samia hum-bypass waziri wa Ulinzi na kuwasilisha maadhimio kwa jeshi kupitia CDF? Mie sielewielewi hii hierachy of engagement inakaajekaaje?

Mama Samia anapaswa ajitambue yeye nani na aache mambo ya Si-Bromance na afuate utaratibu. Au ndo kumuandaa Mwinyi kupokea Kijiti baada yake?
Mimi sioni shida JR kutumika huko as long ana exposure na ni senior Serikalini, Acha andaliwe mana ndio Ajae uyo mkuu, Rais anaweza kuwasiliana na CDF direct bila hata kupitia Waziri wa ulinzi na CDF ana clearance na Rais 24/7 afu mwendezake amesigina kweli katiba ila sijawahi kukusikia hata kidogo au kwa vile upepo umehama
 
Upeo wako but,Magufuli anajua alifanya vizuri ndio maana akamteua na Samoa Naye anajua alifanya vizuri ndio maana kamuweka kuwa makamu.

Shida ya Afrika huwezi kuperform fully kwa kuwa anayekuteua anataka ufanye kwa niaba yake, tofauti na wenzetu unateuliwa lakini unafanya kwa niaba ya watu.
Pitiful!
Unamtetea mtu anayepika data ili tu kulinda maslahi yake!
 
Tuwe serious hivi unamfananisha Philip Mpango (coughing minister) na Dr. Hussein Ali Mwinyi?
Anza kuwalinganisha IQ zao kwanza ndio ujue Mpango ni mmoja wa watu waliokuwa wanampotosha Magufuli na kutuletea huu umaskini.
Uoga+unafiki wake ndio umetufikisha hapa.
Fikiria aliweza kutoka hospitali akiwa hoi ili amfurahishe marehemu Magu!
 
Waziri wa Ulinzi ni Ceremonial Figure hata VP mwenyewe yupo yupo tu unless litokee kama lilotokea kwa mwendazake
Infact Cheo cha VP na Minister of Defence kwa muundo wetu vipo vipo tu na ukikaa vibaya wengi wanakuvimbia tu , JR ame serve for a while na ana security clearance kubwa tu
Kwhiyo unataka kusema juzi alivyofariki Mwendazake waziri wa Ulinzi at the time Mh. Hussein Mwinyi hakushiriki kwenye smooth transition at his capacity?
 
Rais wa Zanzibar kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni sawa na Waziri asie na wizara maalum, hivyo Rais wa Tanzania anaweza kumtumia kwenye majukumu atakayoona anafaa, isitoshe Mwinyi anauzoefu na mambo ya kiulinzi kwa vile alishakaa kwenye wizara hiyo kwa kipindi kirefu, hivyo anaelewa yatokanayo, maazimio pamoja na malengo waliyojiwekea (SADC) tofauti na waziri wa ulinzi aliyeteuliwa hivi karibuni.
 
Rais wa Zanzibar kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni sawa na Waziri asie na wizara maalum, hivyo Rais wa Tanzania anaweza kumtumia kwenye majukumu atakayoona anafaa, isitoshe Mwinyi anauzoefu na mambo ya kiulinzi kwa vile alishakaa kwenye wizara hiyo kwa kipindi kirefu, hivyo anaelewa yatokanayo, maazimio pamoja na malengo waliyojiwekea (SADC) tofauti na waziri wa ulinzi aliyeteuliwa hivi karibuni.
Kwahiyo unaridhika kuwa na waziri wa Ulinzi pambo kisa Mwinyi alikuwa waziri wa Ulinzi kwa miaka mingi? wacheni upuuzi!
 
Mwinyi amekuwa Wizara ya Ulinzi kwa muda hivyo ana uzoefu na hayo mambo ndo maana ametumwa
 
Kwahiyo unarithika kuwa na waziri wa Ulinzi pambo kisa Mwinyi alikuwa waziri wa Ulinzi kwa miaka mingi? wacheni upuuzi!
Agenda zilizokwisha ongelewa Mwinyi anazijua kuliko Waziri aliyeteuliwa hivi karibuni.
 
Naona mama kaiomba saudia ifungue ubalozi mdogo znz and not dodoma. Something doesn't feel right.
Mbona hata ubalozi mdogo wa China, India, Egypt, Mozambique upo Zanzibar tena kwa muda mrefu tu, unashangaa wa Saudia?!
 
Naona mama kaiomba saudia ifungue ubalozi mdogo znz and not dodoma. Something doesn't feel right.
Usishangae Saudi Arabia.
 
Tulia ikuingie, mambo madogo madogo yakupite
 
Back
Top Bottom