Hivi Mandingo ni nani?

Huyu jamaa ni nani? Nimesikia anatajwa tajwa sana.

Moja ya msanii alie mtaja ni Joh Makini kwenye ngoma ya Waya..

Naombeni wataalam wa mambo mnijuze sifa za huyu Mandingo wa ndingo

Ni nani hasa? Na kwanini jina lake linazidi kupaa sana?
Mandingo linatokana na kabila moja linaitwa Mandinka pia unaweza kuwaita Mandinko, Manding, au Malinke, asili yake kutokea nchi ya Mali kwa wale mliosoma historia mtakumbuka ufalme wa Sundiata. Ni kabila linapatikana katika nchi za Afrika Magharibi kama Guinea na Gambia especially Gambia. Kabila ili pia linapatikana nchi za Sierra Leone, Mali, Liberia, Ivory Coast, Guinea Bissau, Senegal, Burkina Faso, Niger na Mauritania. Hawa watu wana historia ya kuwa wanaume wenye nguvu hasa nguvu za kiume. Kwa hiyo mwanaume akiwa na hali hiyo utasikia anaitwa Mandingo. Sasa kutokana na sifa hiyo ndiyo wenzetu wanawake wa wazungu wameifanya nchi hiyo kuwa nchi ya kitalii yaani sexual tourism. Uwa wanakwenda kupata huduma toka kwa kabila la Mandinka au Mandingo
Ni watu wenye nguvu ndiyo maana walipelekwa wengi utumwani wakati wa Trial Angle trade
 
uko deeep sikuwahi kujua
 

Asante sana mkuu nimekupata vilivyo.

Kwa hiyo watalii huwa wanaenda kutalii na kuenjoy na Mandinka? Wanatalii kiaje aje sasa?
 
mandingo ni jamaa mmoja alikuwa anapiga sana puli anatembea na sabuni na katoboa mifuko yake ya suruali.. akikuta demu ana tako basi yeye anamfuata nyuma huku anapiga puli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…