Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kasoma UD na UNIVERSITY OF WOLLONGONG branch ya Dubai
Kipindi naingia UDSM ....huyo Bibi alikuwa finalist, kakaa Mabibo Hostels Block A. Ila sijajua kasoma nini pale
Kweli kabisa."Da Mange" hana roho mbaya isipokuwa ukiingia kwenye anga zake .
Mtukane uone atakutajia michepuko yako yote halafu jiulize ameijuaje?
...As usual you make jokes in every thing...Ana masters ila ni mbobezi wa umbea na majungu ya hapa na pale!
Alisoma BBA inayotolewa jioni pale Business School,sijui kozi ile bado ipoKasoma na kuhitimu lini UDSM?
Hii ni kutoka LinkedIn na sioni popote panaposema UDSM!
https://www.linkedin.com/in/mange-kimambi-171892b3
Proof????????Alisoma BBA inayotolewa jioni pale Business School,sijui kozi ile bado ipo
Haipo siku hizi .....Alisoma BBA inayotolewa jioni pale Business School,sijui kozi ile bado ipo
We nae umekaa kama mchawi, sasa kama unajua kuwa watu wanasema vitu ambavyo hawana uhakika navyo juu ya elimu ya mange kwanini usiseme wewe mwenye uhakika juu ya elimu yake?Proof????????
unachokataa ni nini? toa jibu sasaSource/ proof?
Soma andiko la Mange ujue kasoma wapi.Hujaweka chanzo wala ushahidi.
Umesema tu.
Saying it so doesn't make it so!
Team mange kasema logic [emoji23] [emoji23] [emoji23]We nae umekaa kama mchawi, sasa kama unajua kuwa watu wanasema vitu ambavyo hawana uhakika navyo juu ya elimu ya mange kwanini usiseme wewe mwenye uhakika juu ya elimu yake?
Umekaa kuuliza proof tu ila wewe kutoa proof kuwa hana degree au hajasoma UDSM hutoi
Nataka ithibati...unachokataa ni nini? toa jibu sasa
Wapi hapo aliposema aliposoma? Nionyeshe tafadhali...Soma andiko la Mange ujue kasoma wapi.
We nae umekaa kama mchawi, sasa kama unajua kuwa watu wanasema vitu ambavyo hawana uhakika navyo juu ya elimu ya mange kwanini usiseme wewe mwenye uhakika juu ya elimu yake?
Umekaa kuuliza proof tu ila wewe kutoa proof kuwa hana degree au hajasoma UDSM hutoi
Ni ya Business Administration2004 mange alisoma chuo cha RMIT Royal Melbourne Instute of Technologies, Diploma ya Computer science ambayo ilitolewa kutoka chuo cha Victoria University of Australia kupitia UDSM, akupata maksi za kumruhusu kuendelea na Degree baada ya kushindwa mithiani ya marudio...supp. Aliamua kubadili coz na kusoma BA hapo hapo UDSM kupitia chuo cha CURTIS UNIVERSITY COLLEGE pia kutoka Australia ambacho kilitoa coz zake kupitia UDSM. 2006-2007....akaelekea Dubai kufanya hiyo Masters sijajua ni ya nini....[HASHTAG]#navyojuamimi[/HASHTAG]
[HASHTAG]#classmate[/HASHTAG]
Wewe unatakaje? Unafikiri huyo na rais wa dar Es salaam wako sawa mwache bhana na mashule yake bhana mbona hivyooWanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!