stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Dogo alipiga islamic seminary pale magomeni...o' level.sijui kilimsibu nn akaingia ktk music .....
Future is unpredictable for unprepared ones....
Ila ashawahi kufaidi na mziki wa bongo?mshikaji umri wake kama miaka ngapi?Homeboy wng huyu alikua kipindi hiko nakaa Sinza,,,nawasiliana nae sana karudi shule sasa hivi anapiga T.I.A hukoooo kwenye Gas. Kafanya jambo la mbolea kurudi kwenye kitabu maana muziki wa kibongobongo miyeyusho!
mkuu huyu jamaa hasikiki na hapotei kwenye mziki,yaani yupo ila hasikiki,sasa sijui mziku wa aina hiyo una faida kweli?Mbona alitamba kimtindo miaka ya 2005 na 06 alikua na ngoma kali iliitwa kina kirefu hadi ilikua nominated kwnye kili awards.. Na bado alitoa ngoma nyingi sana kali, sema ndo hivo hiphop ipo kitaani na sio ktk media...
Ila ashawahi kufaidi na mziki wa bongo?mshikaji umri wake kama miaka ngapi?
Niliwahii kukutana nae palee sinza kijiweni Internet cafe kachooka tuu daah mziki huu bnaa,
basi kama hivo mziki unalipa maana mpaka mtu kujisomesha ujue kajipinda,hasa kwa hawa mziki wao ambao hauvumi kivileSomehow kwani ameweza kujisomesha chuo na kujitegemea,, ni 1982!
Alipiga Mlimani Primary School
Sekondari ni Masjid Quba na Nur Magomeni
High School ilikua Azania
College alipiga CBE sema alikatisha masomo ila kwasasa anaendelea Mtwara
Yuko smart sana upstairs
Hivi tatizo la huyu jamaa ni nini kwenye mziki?huwezi ukasema kuna wimbo wake hata moja ume-hit,aisee mshikaji mi naona kama hana nyota kabisa.
Wa siku nyingi sana ila sijui kama anakubalika kivile.
Mnaomfahamu huyu jamaa tupeni historia yake,anafanya nini kwa sasa je mziki anafanya kama hobby au kazi?
Ulitaka awe Imamu?