Hivi marehemu Gadner G Habashi alikuwa na mtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren?

Hivi marehemu Gadner G Habashi alikuwa na mtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren?

maelezo tafadhal
Huyo Binti Gardner alimpost insta kama miaka 2/3 iliyopita akasema kwamba amefwata na huyo Binti na kudai Gardner ni babake.
Hivyo Gardner aliamua kufanya vipimo na vipimo vilionyesha kweli ni damu yake.
Ila inaonekana Karen hakukubaliana na hilo na hakubaliki ujio wa dadake. Baada ya pale sijui nini kiliendelea maana kwenye msiba naona anatajwa Karen tu.
 
Binti mmoja wa pekee! Karen

Mwaka juzi alimtambulisha binti mwingine waliyekutana ukubwani lkn leo hajatambulishwa nahisi huyo binti alimtelekeza baba ake kipindi anaumwa hata kwenye msiba leo sikumuona itakua ndio maana hawajamuhesabu.
Au Gardner hakumtambulisha kwa ndugu zake.
Nakumbuka Gardner alisema amechukua vipimo na vimeonesha kwamba, Binti ni wake. Lkn tangu msiba umetokea Binti is no where to be seen.
Halafu kama utakumbuka Karen alimkataa dadake hadharani kule insta....
Unajua mtoto wa kumjua ukubwani hata ku bond naye inakuwa kazi ngumu.
 
Hivi marehemu Gadner G Habashi alikua namtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren? Naulizia hivi kwa maana ndie anaepewa pole pekee kila mahali hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Unatakaaaa umleee mkuu??
 
Nakumbuka Gardner alisema amechukua vipimo na vimeonesha kwamba, Binti ni wake. Lkn tangu msiba umetokea Binti is no where to be seen.
Halafu kama utakumbuka Karen alimkataa dadake hadharani kule insta....
Unajua mtoto wa kumjua ukubwani hata ku bond naye inakuwa kazi ngumu.
Mkuu siri anayoo yeyeee mwendazake na majibu ya DNA apumzike kwa amani mwamba
 
Family imeombaa mitandaoo apumzike kakayaoi jaman
 
kifoò kisikie tu kunaa bosi mmoja wa kenyakateuliwaleoohukoo kaambiwa apelekewe ndege watamwapisha siku fulani kagomaa atapanda garlii... kisa mwenda zake aliemtangulia kafa na ndege wee
 
Unatakaaaa umleee mkuu??
Nataka kujua mkuu,ujue mwanaume wa kiafrika kua na mtoto mmoja tu hasa huyo jamaa nasikia kama alikua mwamba sana kwenye sekta yetu ya mahusiano inakua ngumu au ndio uzungu sijui.Kuna mwamba aliwahi kulaumu sana Obama kua nawatoto wawili tu tena wakike tu.alichukulia kama uzembe nakupoteza legacy.
 
Huyo Binti Gardner alimpost insta kama miaka 2/3 iliyopita akasema kwamba amefwata na huyo Binti na kudai Gardner ni babake.
Hivyo Gardner aliamua kufanya vipimo na vipimo vilionyesha kweli ni damu yake.
Ila inaonekana Karen hakukubaliana na hilo na hakubaliki ujio wa dadake. Baada ya pale sijui nini kiliendelea maana kwenye msiba naona anatajwa Karen tu.
Labda yalikuwa mambo ya kick,ila huwezi kumkataa mtoto wa baba yako,wewe si ni bao lake kama yeye tu!!!!
 
Back
Top Bottom