Hivi Matonya yuko wapi wadau?

Dah! nikajua mnamuongelea Matonya mweyewe kuja kusoma kumbe mnawaongelea mabwana wadogo,Matonya mwenyewe siku hizi ana style mpya ya kulala kwenye dimbwi la maji huku kikombe chake cha kuomba kikiwa juu.
 
Dah! nikajua mnamuongelea Matonya mweyewe kuja kusoma kumbe mnawaongelea mabwana wadogo,Matonya mwenyewe siku hizi ana style mpya ya kulala kwenye dimbwi la maji huku kikombe chake cha kuomba kikiwa juu.
huyo matonya wa dom sijui nae shule yake anasomea wapi.maana huwa anabadili style kila mala. Anaji update.
 



ahsante mdau kwa kutujuza ukweli
 
Simsikii popote ama bongo ukivuma mwaka mmoja ndo kwisha habari yako ...<br />
nasikiliza wimbo wa Anita hapa wapi Matonya?
<br />
<br />
khaaa!! FL bana mi nilijua yule ombaomba..
 
 
<br />
<br />
Huyu celebrity wetu mbona siku hizi ameishiwa skills, yaani analala kwenye kidimbwi alafu sehemu ambazo watu hawapiti anapata kweli?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Huyu celebrity wetu mbona siku hizi ameishiwa skills, yaani analala kwenye kidimbwi alafu sehemu ambazo watu hawapiti anapata kweli?
ila kweli ubuni zero.tofauti na enzi za akina makamba.au inaweza ikawa na uzee unachangia
 
Huyo ndo matonya wa ukweli, ana strategies kibao za kuomba.., huyo matonya mwingine hatumjui.
 
Huyo ndo matonya wa ukweli, ana strategies kibao za kuomba.., huyo matonya mwingine hatumjui.
nikweli jombi huyu matonya mwanamuziki humjui? Hata kwa mtutu wa bunduki utaendelea kuutetea msimamo wako kwamba HAUMJUI?
 
Huyo ndo matonya wa ukweli, ana strategies kibao za kuomba.., huyo matonya mwingine hatumjui.
nikweli jombi huyu matonya mwanamuziki humjui? Hata kwa mtutu wa bunduki utaendelea kuutetea msimamo wako kwamba HAUMJUI?
 
Kuna habari zinanitatiza kila cku kuhusu huyu mwana muzk,"Matonya" ni muda umepita nisikia kuwa alikamatwa na dawa za kulevya huko China, na kwamba anatumikia kifungo cha maisha jela huko huko. Je wana jf hizi habari zina ukweli wowote..?
 
Sina uhakika na hilo ila cku ya Idd mosi(tar.31/08/2011) nilitoka Arusha kuja kahama, nilifika majira ya saa 12:45 Jioni niliunganisha magari baada ya kuchelewa mabasi ya moja kwa moja Arusha-kahama, nikapata la mwanza nikashuka Tinde nakuchukua NOAH, Baada ya kufika Kahama nilichokikuta ni hiki;

karibia na Benki ya NBC barabara ambayo yanaondokea mabasi yaendeyo Dar, Arusha nk kulikuwa na Umati wa watu umefunga njia (barabara ile) kulikuwa na Tamasha kubwa lililoratibiwa na kampuni SAFARI LAGER, benki ya CRDB, na kampuni ya VODACoM na Wasanii waliokuwepo tamashani hapo ni; MATONYA, QUICK RACKER, PEMBE &SENGA, AFANDE SELE, NEY WA MITEGO &JOSLIN. Na ilikuwa ni Burudani iliyowafanya wasafiri wote wahamie pale kwani kulikuwa na umati mkubwa sana kwa7bu ya ziro kiingilio, japo baadae mida ya saa 7 na 8 usiku nilikutanao tena ukumbi wa starehe 'D!MPLES' uliopo kilometa kadhaa kutoka kituo cha mabasi Cha Kahama. Ila watu waliendelea kuburudika pale kulipokuwa na Tamasha kwa kucheza muziki jukwaani. Ndo hayo tu mkuu. Sasa nashindwa kusema kwamba alikuwa bado kukamatwa ama alishakamatwa na kuachiwa kwani ni mwezi huu wa kenda mwanzoni ndipo nilikutananae cjui wewe ulisikia lini labda?
 
Ametoka. Ila jela za China zilimchanganya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…