acheni umbumbumbu kama hamjui kitu ni bora mkae kimya china ukikamatwa na madawa ya kulevya adhabu ni kunyongwa kama ni ivyo angekuwa amenyongwa zamani jamaa yupo tu bize na mke wake au 7bu hasikiki?
kuna wakati alihojiwa na moja ya 'RADIO FM' juu ya jambo hilo,naye alikanusha vikali na kwamba kutoonekana kwake labda ndiko kulikozusha maneno hayo. Alizungumzia kuhamishia shughuli zake kati ya Arusha na Nairobi. YUPO HURU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.