Hivi Matumizi ya internet kwa mtandao wa Vodacom yako vipi?

Hivi Matumizi ya internet kwa mtandao wa Vodacom yako vipi?

commm

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
1,709
Reaction score
1,963
Wakuu nauliza hivo maana kilichotokea wala sijaamini

Yaani 1GB imeisha kwa kudownload apps mbili tu na kutumia whatsapp ndani ya dakika 10

Hii kali sasa
 
Ndivyo walivyo. Data zao zinapeperuka Kama upepo
 
Naunga mkono kwa kweli hawa jamaa wamekuwa ni wezi sana wa mb za wateja,unaunga kifurush unapewa 4GB lakini Cha kushangaza hata hujakaa sawa unatumiwa text eti umefika mwisho wa matumizi??? Ukiwapigia simu hakuna lolote la maana utaelezwa
 
Wakuu nauliza hivo maana kilichotokea wala sijaamini

Yaani 1GB imeisha kwa kudownload apps mbili tu na kutumia whatsapp ndani ya dakika 10

Hii kali sasa
Je umecheki data usage ya kwenye kifaa chako cha mawasiliano, mfano, smartphone au pc. Kama sio, unabidi ucheki au fanya kuset data limit, itakusaidia sana kujua MB zako zinavyolika na utaweza kucompare na kwa kuuliza salio Vodacom wanakupa ujumbe gani kuhusu MB zilizobaki. Smartphone pamoja na PC huwa zinarun application nyingi kwenye background, na yawezekana ukawa unachart Whatsapp lakini kwenye background ikawa inafanya updates pamoja na synchronization za apps.
Natumia sana huo mfumo, na sijaexperience hilo jambo la kuibiwa data na makampuni ya simu.
 
Je umecheki data usage ya kwenye kifaa chako cha mawasiliano, mfano, smartphone au pc. Kama sio, unabidi ucheki au fanya kuset data limit, itakusaidia sana kujua MB zako zinavyolika na utaweza kucompare na kwa kuuliza salio Vodacom wanakupa ujumbe gani kuhusu MB zilizobaki. Smartphone pamoja na PC huwa zinarun application nyingi kwenye background, na yawezekana ukawa unachart Whatsapp lakini kwenye background ikawa inafanya updates pamoja na synchronization za apps.
Natumia sana huo mfumo, na sijaexperience hilo jambo la kuibiwa data na makampuni ya simu.
Ukiseti data limit inafanyaje kazi?huwa naona hiyo option lakini sijawahi iwazia wala kui-apply.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha haha rudi nyumbani kumenoga wewe mb300 za shilling 500 nafanya nachotaka hizo za buku 4gb ndio kabisa simalizi. Ttcl Juzi Kati walizingua sasa wamekaa Sawa kwa kiwango cha 5g ukigusa tu pah vitu vinafunguka kama vyote ha ha ha ha ha ha
 
Je umecheki data usage ya kwenye kifaa chako cha mawasiliano, mfano, smartphone au pc. Kama sio, unabidi ucheki au fanya kuset data limit, itakusaidia sana kujua MB zako zinavyolika na utaweza kucompare na kwa kuuliza salio Vodacom wanakupa ujumbe gani kuhusu MB zilizobaki. Smartphone pamoja na PC huwa zinarun application nyingi kwenye background, na yawezekana ukawa unachart Whatsapp lakini kwenye background ikawa inafanya updates pamoja na synchronization za apps.
Natumia sana huo mfumo, na sijaexperience hilo jambo la kuibiwa data na makampuni ya simu.
Sawa mkuu nitafuata ushauri wako
 
Aha haha rudi nyumbani kumenoga wewe mb300 za shilling 500 nafanya nachotaka hizo za buku 4gb ndio kabisa simalizi. Ttcl Juzi Kati walizingua sasa wamekaa Sawa kwa kiwango cha 5g ukigusa tu pah vitu vinafunguka kama vyote ha ha ha ha ha ha
Sema Voda natumia tu kwa sababu hata nikiwa nje ya mji bado net Yao Inapiga kazi fresh
 
Ukiseti data limit inafanyaje kazi?huwa naona hiyo option lakini sijawahi iwazia wala kui-apply.

Sent using Jamii Forums mobile app
Data limit kwenye smartphone imejigawa mara mbili, kutahadharisha kama umefikia kiwango ulichoset na Kudisconnect data endapo kiwango ulichoset kimefika.
Data limit inafanya kazi kama LUKU ila hiyo tofauti yake unaset kiwango ambacho unataka kikutahadharishe au kudisconnect. Ikisha disconnect unaweza kure-enable na kuona namna utavyoanza kuperuzi na mb zinazotumika kwanzia muda huo.
Mfano umetoka kujiunga 2Gb ya data, unaenable data limit, then unaweka kiwango ambacho unataka ukitumie kwa uwezo wako e.g. 1.5Gb then ikishafika unajua baada ya hapo unakuwa unahesabu kiwango cha mb kinachoenda ukiwa unaperuzi.
Namna ya kuset, mfano data limit unataka kuset 1.8Gb kwenye 2Gb yako, zidisha hiyo 1.8x1024=1843.2mb.
 

Attachments

  • Screenshot_20200527-090030.png
    Screenshot_20200527-090030.png
    35.1 KB · Views: 3
Data limit kwenye smartphone imejigawa mara mbili, kutahadharisha kama umefikia kiwango ulichoset na Kudisconnect data endapo kiwango ulichoset kimefika.
Data limit inafanya kazi kama LUKU ila hiyo tofauti yake unaset kiwango ambacho unataka kikutahadharishe au kudisconnect. Ikisha disconnect unaweza kure-enable na kuona namna utavyoanza kuperuzi na mb zinazotumika kwanzia muda huo.
Mfano umetoka kujiunga 2Gb ya data, unaenable data limit, then unaweka kiwango ambacho unataka ukitumie kwa uwezo wako e.g. 1.5Gb then ikishafika unajua baada ya hapo unakuwa unahesabu kiwango cha mb kinachoenda ukiwa unaperuzi.
Namna ya kuset, mfano data limit unataka kuset 1.8Gb kwenye 2Gb yako, zidisha hiyo 1.8x1024=1843.2mb.
Nashukuru nimekupata, ntajaribu then nitaleta mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom