Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Aha haha rudi nyumbani kumenoga wewe mb300 za shilling 500 nafanya nachotaka hizo za buku 4gb ndio kabisa simalizi. Ttcl Juzi Kati walizingua sasa wamekaa Sawa kwa kiwango cha 5g ukigusa tu pah vitu vinafunguka kama vyote ha ha ha ha ha ha
Hiyo speed ukitoka nje ya mji kidogo ndo imetoka, kutuma sms zinafail, download speed ndogo sana