Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Labda yanayotoka Bonite..haya ya Dar Kwanza yana chumvi na ni mabaya..yanakalishwa na Uhai ya Bakhressa.Jibu ni moja tu - ubora !
Hayana chumvi kama hayo mengi mengine
Sent using Jamii Forums mobile app