Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
na hiyo hela ya kuchezea Ina toka wapiππ€£Rais wa majobless promax Intelligent businessman waeleze kuwa majobless kama hela ya kula ni shida tunaweza kweli kununua maua ambayo sio chakula?
Mola tutie nguvu
Muacheni dada wa watuThread 'Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?' Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?
Kwahio hawa wakaka kwenye wote hakuna hata mmoja wakukunulia mauwa
Unapendelea tunda gani?!
Maua ya nini wewe ua lako unalo hapo kati unataka ua lingine la nini wewe malkia wa nyuki au?Acha uchoyo wewe kaka
Hapo ni kuipelekea moto mpaka ukakande na mabarafuUkipendwa kweli huwa vinakuja tu,ila kama amekupendea upwiru tu aisee...utasubiri sana
π la kati, we unapenda maua ganiUnapendelea tunda gani?!
Hapo kati si una tunda la huzuni haulijui au unafanya makusudi?Unapendelea tunda gani?!
ππ
Ni hatari sanaHapo ni kuipelekea moto mpaka ukakande na mabarafu
Unataka uje umtukane mkaka wa watu umtimue umwambie kwani utakula hayo maua?Acha uchoyo wewe kaka
Ndio mnachopenda zaidiNi hatari sana