Hivi mbona wachungaji wanajifanya wanajua kila kitu?

Hivi mbona wachungaji wanajifanya wanajua kila kitu?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Mbona madhabahu na injili inavamiwa na washamba sana, yaani akili ya kusoma vifungu vya bible, na hizo lukutu lakata leketee feki ndio wanajifanya na kujikuta wanajua kila kitu, mahusiano wanajua sana, heshima wanajua wao, sifa za kuoa wao, sifa za kuolewa wao, namna ya kutongoza wao namna ya kutongozwa wao. Acheni kuvuka mipaka.

Wanataka tutoke na wake zao au, kusanyiko limejaa watu wa rika nyingi wao wanaongea udwanzi habari za vijiweni ambazo hawazijui. Eti mademu wasitoe namba zao za simu tukiwatongoza, hivi hii ni haki kweli, ndio utumishi gani huo wenye husda za kizamani hivi?

Eti mchungaji anazuia mademu watubanie kutupa namba za simu fasta, wasikubali kukubali vocals tukichati nao WhatsApp, hivi wanataka tuwasoundishe kwenye madhabahu yao.

Wachungaji msijifanye mnajua, wengine hata Kwa lugha na mavazi ni washamba tu, ila wanajikuta sana hawa wanajua kila kitu.

Wapambane na bible na jumbe za kwenye bible huku kwenye pisi na mbususu wasituharibie mood, waache tufanye yetu, zizi na bustani ya Eden vilishavunjika na network na data sio kama zamani.

Wachungaji Baki kwenye madhabahu huku kwenye mataifa mtuache tuishi maisha yetu.

Kuna mchungaji kanikera eti anakataza mademu wasitupe namba za simu kwa mara moja anahimiza watuzungushe hata kutoa namba za simu.

Mungu gani mwenye wivu na yasiomhusu. Wachungaji msivuke mipaka, mtuache Acheni kuharibu mood zetu.

Ni hayo machache tafadhari.

Kama nanyi mnazo kero zenu tushirikishane.
 
Wamegeuka kuwa motivation speakers badala ya wahubiri. Unaweza kwenda kanisani hakuna neno linalosomwa zaidi ya mapambio na mchungaji kuongea lolote alilolipanga
 
Kuna mchungaji mmoja boya sana pale stendi ya mwendokasi Mbezi. Yeye huwa haubiri injili bali anaongea ongea tu na mbaya zaidi anajifanya anajua hata vitu asivyovijua. Anaboa hadi unatamani umnase kibao maana ye anaomba sadaka na kuongeaongea tu asivyovijua
 
Usivuke mipaka wapo wa aina yako wafuate wapo wengi wachungaji wataendelea kutoa huduma, kama wewe huitaji huduma ya wachungaji tulia ila ipo siku utajuwa inaonyesha ulivyo bwana akusamehe bure.
 
Ni kweli wengi huvuka kiasi yaan inakuwa as if mnaenda ibada kupata popping news.
Kama Wakristo wamebadilika kiufahamu na waowajiupgrade zaidi. Kama ni habari kila mtu anauwezo na vyanzo vyake mahsusi vya habari wanadhani wakiongea updates kama mifano ndio wataonekana wako current.

Nadhan watu wanataka na wanashahuku ya kujua new ideas from bible maana hawana muda au utulivu wa kusoma na mafunuo ya kuelewa vitabu vitakatifu.

Wanapenda mtumishi anaeweza ku unlock codes ambazo walikuwa wanaona kama vile kisa ama story. Badala ya vijembe mipasho Peer education nk...
 
Asipo onyesha kujua Kira kitu utatoa sadaka wewe kondoo wake??...........lazima akuzidi na fiksi pia akuzidi ili utoe pesa
 
Kuna mchungaji mmoja boya sana pale stendi ya mwendokasi Mbezi. Yeye huwa haubiri injili bali anaongea ongea tu na mbaya zaidi anajifanya anajua hata vitu asivyovijua. Anaboa hadi unatamani umnase kibao maana ye anaomba sadaka na kuongeaongea tu asivyovijua
Tunachezewa sana na hii free gospelling
 
Ni kweli wengi huvuka kiasi yaan inakuwa as if mnaenda ibada kupata popping news.
Kama Wakristo wamebadilika kiufahamu na waowajiupgrade zaidi. Kama ni habari kila mtu anauwezo na vyanzo vyake mahsusi vya habari wanadhani wakiongea updates kama mifano ndio wataonekana wako current.

Nadhan watu wanataka na wanashahuku ya kujua new ideas from bible maana hawana muda au utulivu wa kusoma na mafunuo ya kuelewa vitabu vitakatifu.

Wanapenda mtumishi anaeweza ku unlock codes ambazo walikuwa wanaona kama vile kisa ama story. Badala ya vijembe mipasho Peer education nk...
Ni hatari sana bible na mikusanyiko inachezewa sana
 
Mbona madhabahu na injili inavamiwa na washamba sana, yaani akili ya kusoma vifungu vya bible, na hizo lukutu lakata leketee feki ndio wanajifanya na kujikuta wanajua kila kitu, mahusiano wanajua sana, heshima wanajua wao, sifa za kuoa wao, sifa za kuolewa wao, namna ya kutongoza wao namna ya kutongozwa wao. Acheni kuvuka mipaka.

Wanataka tutoke na wake zao au, kusanyiko limejaa watu wa rika nyingi wao wanaongea udwanzi habari za vijiweni ambazo hawazijui. Eti mademu wasitoe namba zao za simu tukiwatongoza, hivi hii ni haki kweli, ndio utumishi gani huo wenye husda za kizamani hivi?

Eti mchungaji anazuia mademu watubanie kutupa namba za simu fasta, wasikubali kukubali vocals tukichati nao WhatsApp, hivi wanataka tuwasoundishe kwenye madhabahu yao.

Wachungaji msijifanye mnajua, wengine hata Kwa lugha na mavazi ni washamba tu, ila wanajikuta sana hawa wanajua kila kitu.

Wapambane na bible na jumbe za kwenye bible huku kwenye pisi na mbususu wasituharibie mood, waache tufanye yetu, zizi na bustani ya Eden vilishavunjika na network na data sio kama zamani.

Wachungaji Baki kwenye madhabahu huku kwenye mataifa mtuache tuishi maisha yetu.

Kuna mchungaji kanikera eti anakataza mademu wasitupe namba za simu kwa mara moja anahimiza watuzungushe hata kutoa namba za simu.

Mungu gani mwenye wivu na yasiomhusu. Wachungaji msivuke mipaka, mtuache Acheni kuharibu mood zetu.

Ni hayo machache tafadhari.

Kama nanyi mnazo kero zenu tushirikishane.
Nipo Mkuu majukumu ya maisha yamenishika na Uzee unaniandama kidogo kidogo miaka 60 sio midogo Mkuu. Vipi uko poa lakini?

Baada ya show akaniambia next time atanfanyia

Mbona madhabahu na injili inavamiwa na washamba sana, yaani akili ya kusoma vifungu vya bible, na hizo lukutu lakata leketee feki ndio wanajifanya na kujikuta wanajua kila kitu, mahusiano wanajua sana, heshima wanajua wao, sifa za kuoa wao, sifa za kuolewa wao, namna ya kutongoza wao namna ya kutongozwa wao. Acheni kuvuka mipaka.

Wanataka tutoke na wake zao au, kusanyiko limejaa watu wa rika nyingi wao wanaongea udwanzi habari za vijiweni ambazo hawazijui. Eti mademu wasitoe namba zao za simu tukiwatongoza, hivi hii ni haki kweli, ndio utumishi gani huo wenye husda za kizamani hivi?

Eti mchungaji anazuia mademu watubanie kutupa namba za simu fasta, wasikubali kukubali vocals tukichati nao WhatsApp, hivi wanataka tuwasoundishe kwenye madhabahu yao.

Wachungaji msijifanye mnajua, wengine hata Kwa lugha na mavazi ni washamba tu, ila wanajikuta sana hawa wanajua kila kitu.

Wapambane na bible na jumbe za kwenye bible huku kwenye pisi na mbususu wasituharibie mood, waache tufanye yetu, zizi na bustani ya Eden vilishavunjika na network na data sio kama zamani.

Wachungaji Baki kwenye madhabahu huku kwenye mataifa mtuache tuishi maisha yetu.

Kuna mchungaji kanikera eti anakataza mademu wasitupe namba za simu kwa mara moja anahimiza watuzungushe hata kutoa namba za simu.

Mungu gani mwenye wivu na yasiomhusu. Wachungaji msivuke mipaka, mtuache Acheni kuharibu mood zetu.

Ni hayo machache tafadhari.

Kama nanyi mnazo kero zenu tushirikishane.
Utapigwa na hasiira ya Bwana
 
Kuna mchungaji mmoja boya sana pale stendi ya mwendokasi Mbezi. Yeye huwa haubiri injili bali anaongea ongea tu na mbaya zaidi anajifanya anajua hata vitu asivyovijua. Anaboa hadi unatamani umnase kibao maana ye anaomba sadaka na kuongeaongea tu asivyovijua
Duh
 
Back
Top Bottom