Labda limedhaniwa ni Kundi la Fools tu.Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤
Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤
Tatizo elimu...Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤
Tatizo lenu hamtumiki/hamjitumikishi kuwapigia promo wanasiasa (ccm). Au nasema uongo?Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤
Kwa kile kiwango nani amshobokeeMbele mwananchezo Ni mastar wakubwa..cheki akina lebron, Mayweather,Ronaldo,Tiger Woods.
Hapa bongo wachezaji wanadharauliwa Tu...nilishakutana Na Sapong Bar wadada hawamshobokei nayeye anaomba bia
Mkuu kuna mwanamichezo yoyote Tz mwenye elimu inayoeleweka hata kama aliiba vyeti kama Bashite?Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metacha[emoji2960]
Hii ni nchi ya wachekeshaji. Hiyo michezo haichekeshi na haina sifa za sanaa.Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤
Hivi sie wacheza mpira, kikapu, ngumi, judo n.k kwani tuna shida gani? Mbona hatuteuliwi? Sie kila wakati hatuonekani. Mtufikirie jamani, we are potential too, achaneni na Metachaš¤