Hivi mbona wasanii wanapenda sana kuandikwa magazetini?

Hivi mbona wasanii wanapenda sana kuandikwa magazetini?

Wanapenda kuandikwa ili wapate kick..kuhandle umaarufu sio jambo dogo na umaarufu una raha zake..
 
Wewe unayepost daily utumbo tusemeje..

Na we we je unaita utumbo kwa sababu unataka awe ana kisifia upendacho kwa vile hafanyi ndo wasema hivo ndo maana ya freedom of expression hata katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inaruhusu.
 
Na we we je unaita utumbo kwa sababu unataka awe ana kisifia upendacho kwa vile hafanyi ndo wasema hivo ndo maana ya freedom of expression hata katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inaruhusu.

Ai ai ai ai!Unanikosha sana wewe bint acha tu.
 
Back
Top Bottom