Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Unakuta nalalama eti Mbowe kawa kimya kisa kalambishwa asali na watawala. Unakuta namlaumu Mbowe eti ooh, katishwa kidogo tu ameufyata! Ooh, Mbowe ni TISS kuipinga serikali ni gheresha tu!
Kwangu mimi malalamiko yote hapo juu nimebaini hayana mashiko na ya kipuuzi hakika! Hivi Mbowe huyo aliyepitia magumu yote yale pamoja na kuhifadhiwa jela kwa ajili ya kuwasemea/kutusemea, ya nini tumlaumu kwa ukimya wake leo baada ya anaotutetea, kutokuwa na haja ya kutetewa?
Kwamba yeye aendelee kuumizwa kwa ajili yetu siye wajinga? Ujinga kabisa!
Mbowe kaa kimya na endelea kula raha na familia yako. Sisi ulioamua kututetea bado hatujielewi na achana na sisi, bali watawala wakikuletea asali nashauri ilambe kwa juhudi zote.
Kwangu mimi malalamiko yote hapo juu nimebaini hayana mashiko na ya kipuuzi hakika! Hivi Mbowe huyo aliyepitia magumu yote yale pamoja na kuhifadhiwa jela kwa ajili ya kuwasemea/kutusemea, ya nini tumlaumu kwa ukimya wake leo baada ya anaotutetea, kutokuwa na haja ya kutetewa?
Kwamba yeye aendelee kuumizwa kwa ajili yetu siye wajinga? Ujinga kabisa!
Mbowe kaa kimya na endelea kula raha na familia yako. Sisi ulioamua kututetea bado hatujielewi na achana na sisi, bali watawala wakikuletea asali nashauri ilambe kwa juhudi zote.