Hivi Mbowe tunamlaumu kwa sababu ipi hasa?

Hivi Mbowe tunamlaumu kwa sababu ipi hasa?

Kukah kimya kipindi chote hcho bila kutoa tamko la kuwaambiwa serekali waache ubabe na unyonyaji kupitiliza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unakuta nalalama eti Mbowe kawa kimya kisa kalambishwa asali na watawala. Unakuta namlaumu Mbowe eti ooh, katishwa kidogo tu ameufyata! Ooh, Mbowe ni TISS kuipinga serikali ni gheresha tu...
Umeandika ukweli mchungu
 
Unakuta nalalama eti Mbowe kawa kimya kisa kalambishwa asali na watawala. Unakuta namlaumu Mbowe eti ooh, katishwa kidogo tu ameufyata! Ooh, Mbowe ni TISS kuipinga serikali ni gheresha tu!

Kwangu mimi malalamiko yote hapo juu nimebaini hayana mashiko na ya kipuuzi hakika! Hivi Mbowe huyo aliyepitia magumu yote yale pamoja na kuhifadhiwa jela kwa ajili ya kuwasemea/kutusemea, ya nini tumlaumu kwa ukimya wake leo baada ya anaotutetea, kutokuwa na haja ya kutetewa?

Kwamba yeye aendelee kuumizwa kwa ajili yetu siye wajinga? Ujinga kabisa!

Mbowe kaa kimya na endelea kula raha na familia yako. Sisi ulioamua kututetea bado hatujielewi na achana na sisi, bali watawala wakikuletea asali nashauri ilambe kwa juhudi zote.
Huwezi kutetea majitu consciousness yao kama sacks of potatoes, tuko hivyo, amejitoa mhanga sana lakni magunia haya ya viazi ulaya yanamenyana kwenye gunia bila wasiwasi
 
Watz wengi wanafiki tu, na wewe Mbowe miaka mingi, umekuwa ukijaribu kuwatetea na hadi kuumizwa , lakini wenyewe huwa wameweka miguu juu tu......Aaargh... kwa sasa wewe pambania maisha yako, na kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake....
 
Kesi ya UGAIDI imekuwa kitanzi kwake kukosoa mambo ya nayo endelea ya TOZO... Maana wamemshika pabaya, akikosoa kesi inafufuliwa.
Mtu kama wewe unajiita mjanja kumbe fala,
 
Mbowe amepigwa "Rope A Dope".

Kachezewa kama pawn wa kumsafisha Samia ili Samia aonekane anafanya maongezi na wapinzani, wakati hakuna mabadiliko yoyote.

Kisha Mbowe hawi muwazi, anawaasa wanachama wake wawe na subira, kashindwa hata kuweka pressure mikutano ya hadhara iruhusiwe na viongozi wa CCM.
Wewe huwezi weka presure? Mbowe anavuta Oxygen tofauti na unayo vuta au ni hii hii? Kwamba Wazazi wako walikuleta Duniani ili mwanaume mwingie akutetea? Jinga sana
 
Kwahio sababu siwezi kucheza au sichezi mpira nisimlaumu Messi akikosa Penalty ? Au Tyson akipigwa kwenye ulingo nishangilie tu sababu mimi siwezi kupigana nae hata akifumba macho ?

Hii logic ya Wapi hii....,
 
Haters wa Mbowe ni wale akili zao zina amini kwamba jukumu la kuleta mageuzi hufanywa na mtu au kundi fulani pale Mambo yakiwa tofauti na mitazamo yao huhisi wamesalitiwa
Ndo unakuta wanalalama wapinzani nchii bado sana si kama wapinzani kama wa Kenya.

Utafikiri kuna kundi maalum limetengwa wawe wapinzani wakupiganie.
 
Wewe huwezi weka presure? Mbowe anavuta Oxygen tofauti na unayo vuta au ni hii hii? Kwamba Wazazi wako walikuleta Duniani ili mwanaume mwingie akutetea? Jinga sana
Mimi najibu swali la kumhusu Mbowe.

Waliopewa talanta nyingi watadaiwa zaidi.

Mimi sikuwahi kugombea uongozi wa kisiasa, wala si kiongozi wa kitaifa, na inawezekana siamini katika mifumo yote ya siasa za Tanzania.

Sasa utanipa vipi mimi mzigo wa swali la Mbowe?

Unajua kufikiri kimantiki au unakwenda kwa assumptions za kimahaba tu?

Swali ni kumhusu Mbowe, usigeuze ukafanya mimi niwe mada. Mimi si kiongozi wa upinzani wa taifa.

Unapoamua kunik8nganisha mimi na Mbowe maana yako nini? Maana yako umekubali Mbowe kashindwa kazi niende kugombea mimi uenyekiti wa CHADEMA?
 
Ila to be honest,Mbowe amejitolea sehemu kubwa ya maisha ya ujana wake kuwasemea watanzania wanafiki.Mbowe kwa utajiri alionao angeweza kuendelea na Biashara zake lakini aliamua kujitoa kafala kuwaamsha vijana wa watanzania ambao wamegoma kuamka.Mbowe ni alama ya mageuzi ya kisiasa nchini pamoja na kusalitiwa na baadhi ya wanasiasa aliowajenga ikiwemo kuharibiwa Biashara zake lakini bado mwamba yupo imara.
Namshauri aachane na siasa za kutetea watu wasiojielewa na ajikite kuangalia familia yake na Biashara zake.
 
Unakuta nalalama eti Mbowe kawa kimya kisa kalambishwa asali na watawala. Unakuta namlaumu Mbowe eti ooh, katishwa kidogo tu ameufyata! Ooh, Mbowe ni TISS kuipinga serikali ni gheresha tu!

Kwangu mimi malalamiko yote hapo juu nimebaini hayana mashiko na ya kipuuzi hakika! Hivi Mbowe huyo aliyepitia magumu yote yale pamoja na kuhifadhiwa jela kwa ajili ya kuwasemea/kutusemea, ya nini tumlaumu kwa ukimya wake leo baada ya anaotutetea, kutokuwa na haja ya kutetewa?

Kwamba yeye aendelee kuumizwa kwa ajili yetu siye wajinga? Ujinga kabisa!

Mbowe kaa kimya na endelea kula raha na familia yako. Sisi ulioamua kututetea bado hatujielewi na achana na sisi, bali watawala wakikuletea asali nashauri ilambe kwa juhudi zote.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom