M.Kwidohya
Member
- Feb 18, 2013
- 61
- 7
Mwana jf nimekaa na kutafakali but sipati jibu labda sina uwelewa wakutosha wa kuchanganua hili jambo naitaji kuelimishwa kwa hili
1.hivi pesa za mchango wa madawati unaenda wapi au unatumika kwa maswala gani mengine kwa sababu toka mi na soma paka leo hii hayo madawati bado ya nunuliwa tu wapi ya lipo mbna bdo yapo yale yale ya zamani?
2.pesa ya twicheni je hili lipo kwenye mtahala wa elimu Tanzania kama laa wapi wamepata hiyo ruksa na nini umuhmu wa twicheni kama yeye ndie mwalimu wa pindi nini sababu ya hyo twicheni kwnini asifundishe kwenye kipindi darasani mi nachojua twicheni mtu unasoma kukava topic
3.hivi wa maofisa elimu awaoni watoto wanachoteshwa maji adi saa3 asubuhi au ndio mwl atakava kwenye mda wa twicheni?
4.jamani adi darasa la kwanza anasoma twisheni ya kweli jamni?
1.hivi pesa za mchango wa madawati unaenda wapi au unatumika kwa maswala gani mengine kwa sababu toka mi na soma paka leo hii hayo madawati bado ya nunuliwa tu wapi ya lipo mbna bdo yapo yale yale ya zamani?
2.pesa ya twicheni je hili lipo kwenye mtahala wa elimu Tanzania kama laa wapi wamepata hiyo ruksa na nini umuhmu wa twicheni kama yeye ndie mwalimu wa pindi nini sababu ya hyo twicheni kwnini asifundishe kwenye kipindi darasani mi nachojua twicheni mtu unasoma kukava topic
3.hivi wa maofisa elimu awaoni watoto wanachoteshwa maji adi saa3 asubuhi au ndio mwl atakava kwenye mda wa twicheni?
4.jamani adi darasa la kwanza anasoma twisheni ya kweli jamni?