Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unauliza ili zikusaidie nini? kaulize lumumba.
Naomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
Mengi yamefichika hapa....
Kwanza tuanze na hili,
Kwanini meno ya tembo tu na wala si ya fisi ama kenge...
Mkuu biashara kuu c kutengenezea product za urembo.....pembe hizo ni dawa nzuri sana kuongeza nguvu za kiume nadhani unajua jinsi gn watu walivyo desperate kupata hizo dawa
huko china kilo moja ni dola 3,000.
China crushes tons of illegal ivory in battle against wildlife trade - CNN.com
Hapa kinajadiliwa meno au pembe za tembo?
Mkuu biashara kuu c kutengenezea product za urembo.....pembe hizo ni dawa nzuri sana kuongeza nguvu za kiume nadhani unajua jinsi gn watu walivyo desperate kupata hizo dawa
Moja ya kazi yake ni kurudisha nguvu za kiume, nimepata oda kwenye nchi 1 kusini wanataka niwapelekee hata jino moja tu ila sijui ntayapata wapi?
Dah hivi viroba vinaharibu akili za watu sana.
hivi mkuu ni meno ya tembo au pepe za tembo...tuwekane sawaa kwanzaNaomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
hivi mkuu ni meno ya tembo au pepe za tembo...tuwekane sawaa kwanza
Tembo hana Pembe!!
Hapa kinajadiliwa meno au pembe za tembo?
aise kiswahili ni lugha tajiri inamaana waandishi wetu hawajui kwababu leo utasikia meno ya tembo kesho utasikia pembe za ndovu sasa hapa nashindwa kuwaelewaga je meno ni pembe na je ndovu ni tembo?
I totally didn't know that!!![]()
inatengenezea dawa za nguvu za kiume na kurefusha piaNaomba mnijuze hayo meno ya tembo yanatumika kama malighafi ya kutengeneza nini? Au yana kazi gani?
Wanapokamata hizo wanazoziita nyara hawaziharibu au huziharibu kwa kificho?
Kama hawazihatibu huzipeleka wapi?
Tembo hana Pembe!!