Hivi mgawanyo wa ruzuku ya CHADEMA 2.72 Billioni uliendaje?

Hivi mgawanyo wa ruzuku ya CHADEMA 2.72 Billioni uliendaje?

Kuna watu wanajisikia vibaya chadema kupata ruzuku kiukweli mtapasuka hata hivyo waweza mshauri babako aanzishe chama mkifanikiwa kukubalika level ya kitongoji nitafute msifikir kuanzisha chama Hadi kuenea nchi nzima ni mchezomchezo
 
Nenda ofisi zao mahakama kuu ukawaulize wenyewe

Ova
 
Siku nikipata nafasi ya kushauri vyama vyote nitawaambia jambo moja tuu ruzuku isitishwe mara moja kwa vyama vyote vya siasa ili kama mtu au kikundi kikianzisha chama kiwe na uchungu wa kuwatetea wananchi moyo wa dhati

Vipo vyama vunapata ruzuku kutwa kucha kuzunguka kuanzisha mijadala isiyo na tija kwa wananchi kisa ruzuku

Kwani mnaanzisha vyama ili mlipwe au muwakomboe wananchi pale tawala z8naposhindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi?

Au mnaanzisha vyama ili mpate ruzuku?Swala la ruzuku linapofusha maana halisi ya vyama vya uoinzani

Na hapo ndipo watawala wanapotupiga fimbo mpaka tushakomaa
Wewe hujui? Wanaanzisha vyama ili wapige hela!
 
Back
Top Bottom