Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP Sirro?

Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP Sirro?

Hakika Watanzania tumesikia kauli za mkuu wa Jeshi hivi karibuni, kauli tata sana kwa kiongozi wa juu wa serikalini. Kwanza tulisikia alipotoa kauli tata kuhusia na kesi ya Mbona ambayo tayari ipo mahakamani.

Sijui kwa kutojua au uzembe wa kufikiri kwamba kesi ikishafika mahakamani sio jambo la busara kwa mtu au kiongozi yeyote yule kuzungumzia suala hilo, Hivi majuzi
tumesikia akiwakashifu wakina mama wetu kwamba wasije wakatuzalia mtoto kama gaidi hamza.

Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP SIRRO , inabidi umpuzishe kwa haraka sana kwa manufaa ya TAIFA huenda ikawa ubongo wake ndio umefika kikomo
Huyo mama yenu alitahadharishwa mapema ateue wateule wake watakaomtii hakusikii , Igp, DGIS ,na mawazili hakusikia akaendelea na wa mwendazake , sasa anakwenda kwenye massive failure .
 
Hahahahahah tupatiwe file lake
Naskia Toto lake ni bashite la kiwango Cha standard gauge, alafu sasa linavuta unga.

Akikosa hela ya unga anaweza be a chochote ndani akaenda kuuza. Baba mwenyewe ndio kwanza anamiogopa mtoto, hebu imagine kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna nchi inapata tabu kama Tanzania, pamoja na Mungu kuingilia kati tusonge mbele lakini tunajieudisha nyuma wenyewe tena.
Huyu mama ni fungu la kukosa kabisa, hajielewi yeye ni kuzungushwa tu kwenye matamasha utafikiri ni katibu wa utamaduni.
Siro ni mtu wa kuadhibu tena bila huruma, atatuingiza kwenye Vita ya siri bila kujua.
 
Back
Top Bottom