Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo ni serikali sio privateDuh.kwani wao hawatumii scales za TGS?
Mshahara unakua bargainable kutokana na qualifications, experience pamoja na skills.Mfano NGO kama DANIDA, SIDA na nyingine za aina hiyo huwa wanalipa mishahara kiasi gani kwa nafasi let's say kama ya Finance officer?
hiyo ni just a code ila inatumika katika kuchanganua mishahara yaya watumishi wa serikali wanaofanya kazi wizarani, ofisi za mikoa na halmashauri isipokuwa walimu na afya.Hyo ni serikali sio private
hiyo ni just a code ila inatumika katika kuchanganua mishahara yaya watumishi wa serikali wanaofanya kazi wizarani, ofisi za mikoa na halmashauri isipokuwa walimu na afya.Duh.kwani wao hawatumii scales za TGS?
Zinaofautiana taasisi na taasisi kutokana na sera zaoMfano NGO kama DANIDA, SIDA na nyingine za aina hiyo huwa wanalipa mishahara kiasi gani kwa nafasi let's say kama ya Finance officer?
ungejua, wala hawatumiki unavyofikiria na wala hakuna kazi za pressure kinachomatter ni pprofessionalism na nidhamu ya hali ya juu manake huko ni kujisimamia mwenyewe tu kazi unaletewa kwenye email ni wewe kujisimamia usivuke deadlineNi mikubwa lakini ndo hivyo unataumika mbwa yaani wanakukamua hasa kama ganda la muwa. Ni za mkataba bidii yako ndio mkataba wako. Hazina rushwa kupata bali kichwa chako, wanaangalia zaidi brain kuliko vyeti, cv yako mtaji wako, hazina urefu wa kamba, safari sana, nyumba, usafiri, bima, nk
Nimemaliza interview muda mfupi uliopita,jamaa wako Well organised.ila tu interview zao ni ndefu,tumetumia almost lisaa lizima.Ni mikubwa lakini ndo hivyo unataumika mbwa yaani wanakukamua hasa kama ganda la muwa. Ni za mkataba bidii yako ndio mkataba wako. Hazina rushwa kupata bali kichwa chako, wanaangalia zaidi brain kuliko vyeti, cv yako mtaji wako, hazina urefu wa kamba, safari sana, nyumba, usafiri, bima, nk
Mkuu unajua maana ya TGSDuh.kwani wao hawatumii scales za TGS?
Unajua maana ya NGO?Duh.kwani wao hawatumii scales za TGS?
wewe huyoo? okay sawa mkuuMimi siko serikalini mkuu, na kwenyewe nimetega napasikilizia kupitia utumishi
Mkuu naomb emails za hzi danida na sidaMfano NGO kama DANIDA, SIDA na nyingine za aina hiyo huwa wanalipa mishahara kiasi gani kwa nafasi let's say kama ya Finance officer?