ungejua, wala hawatumiki unavyofikiria na wala hakuna kazi za pressure kinachomatter ni pprofessionalism na nidhamu ya hali ya juu manake huko ni kujisimamia mwenyewe tu kazi unaletewa kwenye email ni wewe kujisimamia usivuke deadline
Mazingirza mazuri ya kazi kuanzia ofisi hadi vitendea kazi,muda mfupi wa kazi mashirika mengi unakuta kazini ni kuanzia saa 3 hadi 10 tofauti na hapo labda kuwe na kazi maalumu, unapewa gari la ofisi unajiendesha mwenyewe ,unaweza ukafukafanya kazi toka home, mwanamama akijifungua likizo ya uzazi miezi 4 ,mishahara 13 kwa mwaka , unasomeshewa watoto.
Mishahara ni mikubwa kwa sababu ya mishahara inayolipwa kwao ni mikubwa huku napo hawataki kuwa chini sana