Hivi mito ya Dar ina samaki?

Hivi mito ya Dar ina samaki?

Kwa jinsi ilivyo michafu hata Samaki wenyewe wameghairi kuishi humo.

Ule Mto pale Kigogo mwisho ukipita SAA 9:30 unakuta maji mekundu, SAA 11:00 maji ya Buluu, SAA 13:32 maji meusi, SAA 15:02 maji mekundu, SAA 16:13 maji ya Njano.

Sasa hapo Samaki gani mjinga atakubali kuishi kwenye maji yanabadilika badilika kama Kinyonga?
Kazi ya kiwanda cha NIDA pale TOT ndiye mchafuzi mkuu. Mwambie Jafo awatembelee wamuoneshe wanako mwaga maji machafu.
 
Samaki wa baharini mmewamaliza wote!!!?
 
Dar ni vinyesi tu kila sehemu hata mboga za majani zenyewe zinamwagiliwa na maji yenye vinyesi.Huwezi Amini hata mitaa mizuri ya upanga kama ule mtaa wa jirani na mtaa wa mfaume ni maji tu ya vinyesi yanatiririka
 
Mito ya misimu, samaki wa msimu...

Ila kwa sasa inajaa sana takataka...
 
Dar hakuna mito kuna vidimbwi vya maji tope.
 
Kwa jinsi ilivyo michafu hata Samaki wenyewe wameghairi kuishi humo.

Ule Mto pale Kigogo mwisho ukipita SAA 9:30 unakuta maji mekundu, SAA 11:00 maji ya Buluu, SAA 13:32 maji meusi, SAA 15:02 maji mekundu, SAA 16:13 maji ya Njano.

Sasa hapo Samaki gani mjinga atakubali kuishi kwenye maji yanabadilika badilika kama Kinyonga?
Ni kweli kabisa hayo maeneo nayajua ola uzembe niwa serikali haiwezekani waruhusu viwanda kuachilia maji taka bila ya kuyatibu
 
Back
Top Bottom