Ahahahahaaah kinachoumiza ni wake na watoto wanaotelekezwa huko vijijini.Mkuu uliyosema ni hakika kabisa, xmass nilienda kula kijijini yaani vijana wote hawapo wako mijini na kibaya wameacha wake zao na watoto wanahangaika.
Nahii inaweza kupelekea huko mbeleni tukaja kosa wakulima na kusababisha upungufu wa vyakula nchini.
serikali hainabudi kutengeneza mazingira ya kuwashawishi vijana kubaki vijjni
Swali ni kwamba kwa nini hao wanaokimbilia mjini wanawatelekeza wake na watoto wao huko vijijini ambako maisha ni magumu?Kusema ukweli vijiji vyetu vinazidi kudorora hela ni ngumu kupatikana ndo maana unaona watu kukimbilia mjini ambako nako maisha si mepesi ila hela ukipigika inapatikana......but honestly sionagi maisha ya mjini kama yana uzuri zaidi ya hela,kazi na pengine na kampani.......
Swali ni kwamba kwa nini hao wanaokimbilia mjini wanawatelekeza wake na watoto wao huko vijijini ambako maisha ni magumu?
Mbunge wangu yupo huko yapata miaka minne nilimwona mara ya mwisho Kijijini akiwa kwenye kampeni akijinadi na kutaka Kura yangu!
Amepata Uongozi sasa na Familia kaihamishia huko mjini!
Ile nyumba yake aliyokuwa anaijenga kijijinihaitaki tena anasema amepata kiwanja (Open Space) Pale Masaki hivyo atasimamisha mjengo huko!
Watoto wake tuliokuwa tunasoma nao pale Shule ya msingi Mchungwani wamehamishiwa International school kule kenya!!
Anasema hatarudi mjini na sasa kwani yupo busy na Viongozi wenzie kuangalia namna ya kujenga flying Over hapo Mjini Dsm!!! Bora Nije nikae huko alipo mbunge wangu aliyepata madaraka baada ya kura yangu kumchagua!...... NISIJE MJINI WAKATI KIONGOZI WANGU YUPO HUKO MWAKA WA 4 SASA? HAINIINGII AKILINI NAKUJA HUKO HUKO MJINI!!!
maisha popote bora mkono uende kinywaniJamani huku vijijini kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukimbia na kwenda mjini kwa kisingizio cha kwenda kutafuta maisha. Lakini sasa imekuwa ni kero kwa baadhi ya vijana wa kiume waliooa kutelekeza wake zao na kwenda kutafuta maisha mjini. Na wengi wao hawarudi kabisa au wakirudi wanakuwa wameoa wake wengine ambao wamewapata mjini. Hii imekuwa ni kero sana maana inasababisha ongezeko la watoto wa mitaani...........
Ndio maisha ni popote lakini kwa nini hawahami na familia zao kwenda huko mjini?
Kijiji gani!!!! Boko au Bunju!!!!