Hivi mke wa Rais analipwa mshahara?

Hivi mke wa Rais analipwa mshahara?

Nilikua nawaza tu huo mshahara naupokea wa nini??
yaani kua first Lady ni Cheo, Majukumu au nini??

Ila kweli, yaani kuwa first lady ndiyo alipwe...mshahara. Je, katiba zinaelekeza hivyo. Haya mambo tatizo ukihoji, unaweza kupimwa mkojo...
 
Kwa Mujibu wa Sheria zetu...Mke wa Raisi anpata nusu ya Mshahara wa mumewe. Na hii nikutokana na kazi kubwa ya kulinda afya ya Raisi wetu. Kumbuka kuwa ndio mtu pekee anayeweza kuwa faraga na Raisi kwa muda mrefu zaidi. Na mambo mengine mengi tu. Wajuzi wa mambo watakupa uelewa.
Kama hutojali nitajie Jina la sheria na kifungu chake
 
@Gentamycin njoo umshauri Rais asitishe mshahara kwa first lady huenda akakusikia, mimi natangulia kijiweni saigoni.
 
sijui huko kwenu tanzania huku kwetu marekani first lady halipwi
Nasikia Marekani hata chakula cha raisi na familia yake anagharimikia kutoka kwenye mshahara wako.Hiyo ni Marekani sio lazima tufanane nao sisi tufuate yetu si ajabu mshahara wa raisi wao ni mkubwa na marupurupu mengine
 
Analipwa Mkuu,na unawazidi walimu wote Tanzania hakuna anayemfikia.
Ss sijui kw kazi gn?
kwasababu huwa haruhusiwi kufanya kazi yoyote zaidi y za mumewe au kujitolea xo wanampa mshahara kwa kumzuia asifanye shughuri zake zingine za kumuingizia kipato chake
 
Swali na ufafanuzi kidogo.

Utasikia mke wa rais kachangia hiki kachangia kile, katoa pesa taslim kiasi fulani. Swali langu, je na wake wa marais huwa wanapewa mshahara? Kama ndiyo kwa kazi gani wanazozifanya kwa walipa kodi? Kama hapana, hizo hela wanazotoa huwa wanazipata wapi wakati hawana kazi wala mshahara? Kadhalika, kama analipwa mshahara kwa pesa za walipa kodi, je, katiba inasemaje kuhusu mshahara wa mke wa rais? Kama hiyo haitoshi, je nao hukatwa pesa kwa ajili ya michango kwenda mifuko ya jamii kama vile PPF, NSSF ama LAPF? Je, hukatwa Pay As You Earn?

Ninaamini swali si kosa kwa mujibu wa katiba yetu.

Kwanza kodi gani unalipa wewe. Kama wewe unaonga Bar maid tu laki. Itakuwaje mke wa Mjomba wako. Hivi mnaelewa kweli cheo cha Rais Au tukupeleke Zimbabwe .kila mtz kodi zetu zipi hizo.
 
Kwanza kodi gani unalipa wewe. Kama wewe unaonga Bar maid tu laki. Itakuwaje mke wa Mjomba wako. Hivi mnaelewa kweli cheo cha Rais Au tukupeleke Zimbabwe .kila mtz kodi zetu zipi hizo.

Nilifundiswha kusikiliza, kutafakari ndipo nijibu. Hapa kwa kuwa nasoma na si kusikiliza, basi nimesoma nimetafakari na nimeona hakuna haja ya kukujibu. Asante tu kwa maoni yako.
 
Mshahara utakuwepo kwa ajili ya Kinit kinati kinit kinati haki za msingi kwa mzee ni muhimu sasa haiwezekani, ajali afya, Amlishe ,Am kinit Kinat alafu asilipwe
 
Mimi naunga mkono yeye kupewa hata posho kumbukeni yeye ni kipunguza pressure cha mkuu wetu anapotindikiwa na majukumu.Kazi ya uraisi ni ngumu sana
Kama kazi ya urais ingekua ngumu wanasiasa wasingegombania kuingia Ikulu
 
Kwa Mujibu wa Sheria zetu...Mke wa Raisi anpata nusu ya Mshahara wa mumewe. Na hii nikutokana na kazi kubwa ya kulinda afya ya Raisi wetu. Kumbuka kuwa ndio mtu pekee anayeweza kuwa faraga na Raisi kwa muda mrefu zaidi. Na mambo mengine mengi tu. Wajuzi wa mambo watakupa uelewa.
Katiba inasema hivyo au mazoea tuliyojizoesha?
 
Back
Top Bottom