CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
- Thread starter
- #21
Nilikua nawaza tu huo mshahara naupokea wa nini??
yaani kua first Lady ni Cheo, Majukumu au nini??
Ila kweli, yaani kuwa first lady ndiyo alipwe...mshahara. Je, katiba zinaelekeza hivyo. Haya mambo tatizo ukihoji, unaweza kupimwa mkojo...