CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
- Thread starter
-
- #21
Nilikua nawaza tu huo mshahara naupokea wa nini??
yaani kua first Lady ni Cheo, Majukumu au nini??
Kama hutojali nitajie Jina la sheria na kifungu chakeKwa Mujibu wa Sheria zetu...Mke wa Raisi anpata nusu ya Mshahara wa mumewe. Na hii nikutokana na kazi kubwa ya kulinda afya ya Raisi wetu. Kumbuka kuwa ndio mtu pekee anayeweza kuwa faraga na Raisi kwa muda mrefu zaidi. Na mambo mengine mengi tu. Wajuzi wa mambo watakupa uelewa.
Jose kwani ndo raisi ??Joseverest uje utujibu
Nasikia Marekani hata chakula cha raisi na familia yake anagharimikia kutoka kwenye mshahara wako.Hiyo ni Marekani sio lazima tufanane nao sisi tufuate yetu si ajabu mshahara wa raisi wao ni mkubwa na marupurupu menginesijui huko kwenu tanzania huku kwetu marekani first lady halipwi
kwasababu huwa haruhusiwi kufanya kazi yoyote zaidi y za mumewe au kujitolea xo wanampa mshahara kwa kumzuia asifanye shughuri zake zingine za kumuingizia kipato chakeAnalipwa Mkuu,na unawazidi walimu wote Tanzania hakuna anayemfikia.
Ss sijui kw kazi gn?
Nusu ya mkuuSh ngapi
Swali na ufafanuzi kidogo.
Utasikia mke wa rais kachangia hiki kachangia kile, katoa pesa taslim kiasi fulani. Swali langu, je na wake wa marais huwa wanapewa mshahara? Kama ndiyo kwa kazi gani wanazozifanya kwa walipa kodi? Kama hapana, hizo hela wanazotoa huwa wanazipata wapi wakati hawana kazi wala mshahara? Kadhalika, kama analipwa mshahara kwa pesa za walipa kodi, je, katiba inasemaje kuhusu mshahara wa mke wa rais? Kama hiyo haitoshi, je nao hukatwa pesa kwa ajili ya michango kwenda mifuko ya jamii kama vile PPF, NSSF ama LAPF? Je, hukatwa Pay As You Earn?
Ninaamini swali si kosa kwa mujibu wa katiba yetu.
Kwanza kodi gani unalipa wewe. Kama wewe unaonga Bar maid tu laki. Itakuwaje mke wa Mjomba wako. Hivi mnaelewa kweli cheo cha Rais Au tukupeleke Zimbabwe .kila mtz kodi zetu zipi hizo.
Anajua mengi sana huyu jamaaJose kwani ndo raisi ??
Kama kazi ya urais ingekua ngumu wanasiasa wasingegombania kuingia IkuluMimi naunga mkono yeye kupewa hata posho kumbukeni yeye ni kipunguza pressure cha mkuu wetu anapotindikiwa na majukumu.Kazi ya uraisi ni ngumu sana
Ndugu yangu uFirst Lady si Cheo Bali ni Madaraka ndugu!Nilikua nawaza tu huo mshahara naupokea wa nini??
yaani kua first Lady ni Cheo, Majukumu au nini??
Katiba inasema hivyo au mazoea tuliyojizoesha?Kwa Mujibu wa Sheria zetu...Mke wa Raisi anpata nusu ya Mshahara wa mumewe. Na hii nikutokana na kazi kubwa ya kulinda afya ya Raisi wetu. Kumbuka kuwa ndio mtu pekee anayeweza kuwa faraga na Raisi kwa muda mrefu zaidi. Na mambo mengine mengi tu. Wajuzi wa mambo watakupa uelewa.
Kumbeba raisiAnalipwa Mkuu,na unawazidi walimu wote Tanzania hakuna anayemfikia.
Ss sijui kw kazi gn?