Exactly.gwankaja, Kutongoza ni Sanaa kubwa kama zilivyo Sanaa zingine.
Kuwa na pesa na gari haipunguzi hata chembe ya wewe kutoitumia sanaa yako.
Miaka ya nyuma kidogo brother wangu alitembelea gari zake. Alikuwa anapata wanawake wa kawaida sana.
Kila Alipoona mtoto mrembo niliyenaye alikuwa anabaki na maswali mengi na kujiuliza nawatoaga wapi wakati sina gari!
Ukiwa na gari na pesa pia ujue hata kuchagua warembo wazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta hela ndio utajua utawapataje!!! Pesa ,gari uchawi wa kizungu!!! I let my car talk for me blah what up hommie.
Pole sana mkuu.
Alikuwa na usafiri na chenchi chenchi lakini. Maana ukiwa na usafiri bila facilitation fees pia unaweza usifanikiwe kuinjoy maisha.Ukisikia uchawi wa kizungu ndo huo rafiki yangu alikuwa na usafiri Chuoni aisee alikuwa anawala kama chips kuku kaka yake alipogundua alinyang'anywa maana angekufa mapema kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kufa ww A1 ya kutongoza mmmmh utatukanwaUnajua coding? Unajua ishu za AI mashine learning? Nafikiria kwamba AI inamsaidia mteja kutongoza demu moja kwa moja. Pia AI inasaidia kuchat na demu kimahaba mpaka analiwa kimasihara.
Unaweza kuiona idea ya kiboya ila mabeberu wakiiona wakiinunua unaweza kujikuta unakuwa bilionea kimasihara.
Aisee jamaa una mambo ya ajabu wwDunia ya leo bado kuna mtu anaangaika na jinsi ya kupata binti! Mbona kama ni wepesi mno hadi mtu anahamua kuwa nao zaidi 10+ wewe unashindwa nini kupata mmoja unayemtaka au huyo umtakaye ana kipande cha gold huko chini?
Wazungu wako unawapatajeUtawapata kwa ushamba wao na umasikini wao wa akili.
Asantee japo tangawazi kwenye chai yetu ulizidishaa mkuu inawasha kama pilipiliNikupe uzoefu wangu! Nilikuwa mkoa fulani niko vizuri nimepaki Mercedes Benz yangu nje nikaingia Night Club moja matata ya hadhi fulani. Mfukoni nina mawe ya kutosha. Nikaenda moja kwa moja "counter" nikakutana na washua fulani wakiwakodolea macho totozi fulani za uhakika!
Hizo totozi kumbe ni wanafunzi wa Chuo fulani na wako vizuri wanakula good time kwa hela zao mpaka washua wakawa wanawaogopa! Nikamwambia mshua mmoja (simfahamu) kuwa nataka binti mmoja mrembo kuliko woote humu ndani akaninyoshea kidole "yulee"! Na kweli alikuwa amesimama kila idara urefu, chura, rangi, kuongea, sauti, n.k, n.k. Nilichokifanya niliangalia anakunywa kinywaji gani nikaona anakunywa something like beer kwenye chupa ndogo.
Nikaenda moja kwa moja mezani alipokuwa amekaa na wenzake! Nilivyokuwa naapproach meza (pamoja na kelele za mziki na kushouti) woote walihisi "somebody is looking something around this table". Nilimsogelea na kumuomba "naomba nikununulie kinywaji chochote unachotaka". Wakati woote wananiangalia akasema tununulie woote tuko kampany!
Sasa kama hela hipo na unatafuta " binti/demu/mke/mchumba" vyovyote vile utakavyoweza kuita hela ya round moja ili umpate kitu gani bwana? Nikatoka nikarudi na muhudumu na kuchukua order na nikalipa then nikampa simu yangu "IPhone 7+" ndo zimetoka aniandikie namba yake then nikasepa. Nikakausha kama siku nne bila kumtafuta then nikampigia na kujitambulisha! Nakuambia! Hata sasa nikitangaza kupeleka mahari ruksa!
Nawapata kwa nyanyako.Wazungu wako unawapataje
Mkuu Tena ukiwa mwepesi show nyingi unamakizia kwenye gari wazee wa kulaza siti [emoji1] noma Sana achana na zile dhama eti waitia nuksi gari case study gari yangu nagongea mwaka wa tano huu sijawahi hata chubuliwa rangi offcourse ndinga zinarahisisha michakato na zinapunguza kujieleza Sana unaeleweka mapema kuliko ukiwa unaruka reggeKuwa na Pesa au Gari hakuondoi kipengele cha kumwaga mistari...Usijidanganye kuomba penzi kama unaomba pipi dukani utaambulia mitusi tu ujione una gundu. Lazma utangaze nia kwanza ila kwa uhakika 100% ndani ya siku 3 za mwanzo utakuwa ushamilikishwa jimbo ama dalili zote za kupewa mbunye utaziona.
Inshort Kinachorahisishwa na mamalaka (Pesa & Gari) ni ile process ya kupata mbunye. Hutatumia effort nyingi endapo ukishaonesha nia tu...mambo yanaflow yenyewe na upepo utakuwa upande wako mara nyingi kuliko kwa mtu ambaye ni kapuku kuna namba akigusa ataambulia vi-ndula tu!
Yote hii inatokea tokana na kwamba watoto wa kike wengi wana tamaa ya vitu vizuri vizuri na mtu mwenye pesa ndio mtu pekee hasa anaeweza ku guarantee aina hio ya maisha wanayopenda. Akililia hiki umpe akitamani kile ununue ilimradi tu kamoyo kake kafurahi.
Mfano: Mtoto umemuapproach, hapo ana matatizo lukuki anadaiwa kodi mara biashara haziendi. Mara umemtatulia shida zake kwanini asiachie mbunye sasa. Kwanza anakuona kama Nabii flani ulieshushwa ghafla. Hapo huna haja hata ya kulia lia alimradi ulionesha nia ya kumtaka atakufata kwako akuvulie chupi atadeki na kufua na kupika kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hii ndio aina ya wanawake wengi ambao tunakutana nao maeneo ya mijini...achilia wale wa tamaa za kuosheana kwa mashost zao.
Hapa sasa hio MB kule nje ilihusika vipi? Maana ndani ya club ulikuwa na pesa na iphone tu gari uliacha nje.Nikupe uzoefu wangu! Nilikuwa mkoa fulani niko vizuri nimepaki Mercedes Benz yangu nje nikaingia Night Club moja matata ya hadhi fulani. Mfukoni nina mawe ya kutosha. Nikaenda moja kwa moja "counter" nikakutana na washua fulani wakiwakodolea macho totozi fulani za uhakika!
Hizo totozi kumbe ni wanafunzi wa Chuo fulani na wako vizuri wanakula good time kwa hela zao mpaka washua wakawa wanawaogopa! Nikamwambia mshua mmoja (simfahamu) kuwa nataka binti mmoja mrembo kuliko woote humu ndani akaninyoshea kidole "yulee"! Na kweli alikuwa amesimama kila idara urefu, chura, rangi, kuongea, sauti, n.k, n.k. Nilichokifanya niliangalia anakunywa kinywaji gani nikaona anakunywa something like beer kwenye chupa ndogo.
Nikaenda moja kwa moja mezani alipokuwa amekaa na wenzake! Nilivyokuwa naapproach meza (pamoja na kelele za mziki na kushouti) woote walihisi "somebody is looking something around this table". Nilimsogelea na kumuomba "naomba nikununulie kinywaji chochote unachotaka". Wakati woote wananiangalia akasema tununulie woote tuko kampany!
Sasa kama hela hipo na unatafuta " binti/demu/mke/mchumba" vyovyote vile utakavyoweza kuita hela ya round moja ili umpate kitu gani bwana? Nikatoka nikarudi na muhudumu na kuchukua order na nikalipa then nikampa simu yangu "IPhone 7+" ndo zimetoka aniandikie namba yake then nikasepa. Nikakausha kama siku nne bila kumtafuta then nikampigia na kujitambulisha! Nakuambia! Hata sasa nikitangaza kupeleka mahari ruksa!
Mm napenda sana pikipiki, ndy maana kama shemeji yako anakuja kunichukua namwambia uje na pikipiki.Mademu wana vigezo wanaangalia kwa wanaume ambacho ni uwezo wa kifedha kwa kumiliki mali kama magari na majumba pamoja na kuweza kumudu mahitaji. Njia za utongozaji ni zilezile ila akiona una mkwanja na gari kali anakubali kirahisi kuliko ukija na bodaboda
Wapo wanaopenda pikipiki pia na Tanga hata baiskeli unang'oa demuMm napenda sana pikipiki, ndy maana kama shemeji yako anakuja kunichukua namwambia uje na pikipiki.
Kukutomba atakutomba tuSiyo kila mwanamke anapatikana ukiwa na pesa au ukiwa na gari, unaweza ukawa na vyote na kama sijakupenda sijakupenda tu
Sent from my iPhone using JamiiForums