Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mzee wa fursa, hio kitu ipo sana hapa town japo ni un_official ila kuna kundi la vijana wanaitwa "Chawa!" Hawa jamaa huzunguka na maboss ama watu wenye hela wakuitwa "wakulungwa"!Nimesoma uzi na comments. Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya kutongoza mademu kwa niaba ya mtu halafu najipatia malipo. Au kuanzisha app ya kutongoza mademu.
Wadau mnaonaje wazo langu la biashara.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe pata hizo pesa na gari kali utashangaa tumejuaje tukishakupata.
Hayo mengine tuachie sisi.
Noma sana!Tembelea mitaa yenye Tot`s paki gar hata usihangaike ikiwezekana acha mlango wazi na kamziki kwa mbaliii usihangaike kumuita mtu utaona wanajipitishaa kwa kasii
You nailed it!🤣🤣🤣🤣🤣 kwamba hizo sio gari!
About confidence tupo pamoja, huwezi kuwa kinyonge wakati account inasoma 6 figures! Una mashine kali V6 kifuani! Mungu akupe nini af kama ni mtu unaejua ku Pop tags kwenye ma Botiques basi imeisha hio. Yani jinsi unavyonukia na smart looking ni pesa tupu.
The moment unafata manz na kumwambia dadaa samahan, mambo vipi?... tayari umemlegeza, baada ya siku 2-3 umemtimbia na Lexus na ameshajua unatokea kwenye ghorofa moja Posta City Centre mnapata Lunch Serena aisee need i say more?
👊👊👊🤣🤣🤣🤣🤣 kwamba hizo sio gari!
About confidence tupo pamoja, huwezi kuwa kinyonge wakati account inasoma 6 figures! Una mashine kali V6 kifuani! Mungu akupe nini af kama ni mtu unaejua ku Pop tags kwenye ma Botiques basi imeisha hio. Yani jinsi unavyonukia na smart looking ni pesa tupu.
The moment unafata manz na kumwambia dadaa samahan, mambo vipi?... tayari umemlegeza, baada ya siku 2-3 umemtimbia na Lexus na ameshajua unatokea kwenye ghorofa moja Posta City Centre mnapata Lunch Serena aisee need i say more?
ukishakuwa na umatemate...kila kitu kinakuja automatically!....mi huwa nastukia tu tumeshavua nguoUkiwa na hela mwonekano wako unajionyesha na hao manzi wanajua sana kunusa mwenye hela. Wee nenda sehemu zenye mkusanyiko wa hao manzi kama kwenye graduation, sehemu za kuabudu, harusi, viwanja vya starehe zenye hadhi ya manzi unayemtaka, mahofisini mida ya lunch au wakati wa kutoka kazini, n.k. Then, simama kwa mbali pitishapitisha macho utamuona atakayenasa nafsi yako then mfuatilie au ulizia wenyeji upate njia ya kumpata! Kaba ya hata kujua una gari au nyumba, mwonekano wako tu utamvuta na kujileta na hapo unaweza kujimwambafai. Then, akijua unafanyashughuri gani na una gari basi anakija mzima mzima bila kuvua viatu! Lakini wengine inabidi uwe na "swagger" za kiaina hapo ni wewe kijiongeza. Kama huwezi wako machalii unaweza kuwapa kazi kukuvutia manzi kama domo ni zitto!
Wewe una gari au chombo cha usafiri!? tuanzie hapo kwanza.
Gari na pesa vinakuongezea confidence ya kumapproach yeyote. Not sure abt Passo and Vits.
Kwa mujibu wa bilionea Kiduku lilo, magari ni
Wewe pata hizo pesa na gari kali utashangaa tumejuaje tukishakupata.
Hayo mengine tuachie sisi.