Mkuu! Ntake radhi
Majukumu binamu si unajua tena kutafuta mkate wa kila siku! 2po Pamoja Mkuu!Kumradhi binamu. Nlikuwa nataka kujua kama bado upo. Heshima kwanza. Lol! Hahahaha!
Is it true? MBU pls let us know if that is the caseMBU= MARRIED BUT UNHAPPY,
mkuu pole sana, kumbe ni kweli kabisa jina lako lilivyo Lol.
sasa Mbu hapo unatakaje, hata kama ni saa 5 za ucku na hatujawacliana kwa lolote yani cjui upo kona gani niculize?Dada we acha tu hawa wana mambo halafu usipouliza ataona hujali na ukiuliza hakujibu mie hata huwa siwaelewegi hawa viumbe
Ah shemeji mie tena? wala sidongoi pale penye ukweli ati. Ninakubaliana nawe kuwa kina mama wengi tuna tabia hii ila kama alivyosema dada Vera huwa kuna sababu behind yaani dada kuna ujumbe anataka kukufikishia but ndo hatujui njia sahihi!
Ila seriously kuna wanaume wanaonuna na usiombe ukakutana naye loh! Utajuta. Mie wangu alikuwa ananuna bila sababu asubuhi hadi usiku akirudi ni kuchuna tu hadi unachoka halafu nite kali ghafla bin vuu unasikia kono linateremshwa hazina!! Sijui wakoje wa namna hii!
Mr. Mbu,
Kwa wale walio na wake wanalijua vyema hilo timbwili timbwili la wake zetu, iyo hali wengi wetu hutukuta, me hapo bado sija waelewa kabisa hawa wake zetu, wanafikili kununa ndio silaha yao ya kukufanya uwaogope au urudi nyumbani mapemaaaa! kumbe anapaswa kukuliza tu vizuri mume wangu kulikoni?? na atajibiwa.
Amakweli me hakuna jambo linalo nikela umetoka zako Job unakutana na na hilo timbwili timbwili huwa na juta kwanini nime wahi kuja home, wakuta ukirudi home bado yeye wife anataka umpe attention 100% awe anakusemesha na ikatokia hukumsikiliza ndio hapo unaunogesha ugomvi, sasa me ndie nimetoka job nimekukuta nategemea ndio unipe hiyo attention kwangu nikueleze mawili matatu ivi lakini jamaani wake zetu nao wawe wanatufikiriapo japo kwa muda kuwa mumewe kachoka anatakiwa kuliwazwa nae sio yeye atake kufanyiwa ivyo tuu,
Au utakuta jambo lingine ni pale wote mwafanya kazi ukiwahi rudi wewe utampokea vyema na utakuwa umeisha hata andaa chai ya jioni na mtaongea vyema au akukute nawe uko kwa bad mood utakiona cha mtemakuni naye anaweza kukubadilikia akawa yeye ndie mwenye hasira zaidi yako ati sasa hapo wajiuliza mimi ndio niko vibaya iweje wewe tena unibadilikie??
Au kunajambo jingine wengi wao wakitoka kazini na mkiwa mme pumzika usiku na labda mwaitaji kufanya tendo la ndoa wife wako atakuambia mimi nimechoka hiyo hali ipo toka Monday to Friday mazeee na huwatokea wengi, ati amechoka amefanya kazi nyingi sana au ana stress zake za huko job, siku nawe ukimjibu ivyo utanuniwa na utazushiwa kuwa una nyumba ndogo na maugonvi yanaanzia hapo sasa mimi huwa siwaelewi wao wanapenda tu wawe wanadekezwa tuuuuuuu au??
Si Love is both way jamani????au it a one way love only??
living in denial?Ulimpata wapi huyo? Shuleni, Kijijini, Jeshini, Bar, Ofisini, kwenye daladala, au? Mbona wake zetu sisi ni poa tu. Wanatupa raha kinoma!
hawa watu wanamatatizo mkuu, siku zote anajua kununa ndio suluhisho la tatizo lake, na anajua tu kuwa lazima utamuuliza una tatizo gani atakidai bado kuendelea kununa hadi umbembeleze. Hapo utakuta anataka kitu sasa anajua akikuambia kavu kavu unaweza kumtolea nje, ndio maana anaununa ili umuulize kwa kumbembeleza halafu ndio atasema. kama ningekua mimi nami nauchuna kinoma noma
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!
oh how wrong you are;
what about age?
What about rejection?
What about honesty?
What about future plans
what about kids?
What about having the one you love everyday and every night?
I came to know more about women the day i got married
they opened up to me
i understand intimately their values and beauty
i sleep secured
with family life, you know more secrets about women
oooh man!!! Despite all problems, i need them more and more
gamedu!!!
Maisha ya ndoa si ya kila mtu lol!!! MBU punguza kuangalia mpira anza kuangalia sappy TV shows na bibie.