Hivi mkoje nyie?...!

Hivi mkoje nyie?...!

,... hasemi lolote almuradi kaamua 'kukuweka' uncomfortable as if hapo nyumbani unamuwekea usiku...

Yale Yale makufuri ya China, ukiona hivyo ujuwe keshaanza kuugua maleria maana MBU wa siku hizi hawa cha chandarua wala dawa ya kuchoma
 
Ulimpata wapi huyo? Shuleni, Kijijini, Jeshini, Bar, Ofisini, kwenye daladala, au? Mbona wake zetu sisi ni poa tu. Wanatupa raha kinoma!
 
sasa Mbu hapo unatakaje, hata kama ni saa 5 za ucku na hatujawacliana kwa lolote yani cjui upo kona gani niculize?
Dada we acha tu hawa wana mambo halafu usipouliza ataona hujali na ukiuliza hakujibu mie hata huwa siwaelewegi hawa viumbe

...ha ha ha...

kawaida kila nikitoka naaga, tena natoa Itinenary yote lakini bado tu
mtu hata hujamaliza nusu ya safari ushatumiwa sms upo wapi, ukijizubaisha kujibu mara huyo ka beep,... hujakaa sawa hizo missing calls,
duuh!
 
Ah shemeji mie tena? wala sidongoi pale penye ukweli ati. Ninakubaliana nawe kuwa kina mama wengi tuna tabia hii ila kama alivyosema dada Vera huwa kuna sababu behind yaani dada kuna ujumbe anataka kukufikishia but ndo hatujui njia sahihi!

Ila seriously kuna wanaume wanaonuna na usiombe ukakutana naye loh! Utajuta. Mie wangu alikuwa ananuna bila sababu asubuhi hadi usiku akirudi ni kuchuna tu hadi unachoka halafu nite kali ghafla bin vuu unasikia kono linateremshwa hazina!! Sijui wakoje wa namna hii!

...anajifanya anaota huyo,... anagusa halafu anasikilizia uta respond vipi, siku uchune tu uone kama atakubaka 😀

Mr. Mbu,

Kwa wale walio na wake wanalijua vyema hilo timbwili timbwili la wake zetu, iyo hali wengi wetu hutukuta, me hapo bado sija waelewa kabisa hawa wake zetu, wanafikili kununa ndio silaha yao ya kukufanya uwaogope au urudi nyumbani mapemaaaa! kumbe anapaswa kukuliza tu vizuri mume wangu kulikoni?? na atajibiwa.

Amakweli me hakuna jambo linalo nikela umetoka zako Job unakutana na na hilo timbwili timbwili huwa na juta kwanini nime wahi kuja home, wakuta ukirudi home bado yeye wife anataka umpe attention 100% awe anakusemesha na ikatokia hukumsikiliza ndio hapo unaunogesha ugomvi, sasa me ndie nimetoka job nimekukuta nategemea ndio unipe hiyo attention kwangu nikueleze mawili matatu ivi lakini jamaani wake zetu nao wawe wanatufikiriapo japo kwa muda kuwa mumewe kachoka anatakiwa kuliwazwa nae sio yeye atake kufanyiwa ivyo tuu,

Au utakuta jambo lingine ni pale wote mwafanya kazi ukiwahi rudi wewe utampokea vyema na utakuwa umeisha hata andaa chai ya jioni na mtaongea vyema au akukute nawe uko kwa bad mood utakiona cha mtemakuni naye anaweza kukubadilikia akawa yeye ndie mwenye hasira zaidi yako ati sasa hapo wajiuliza mimi ndio niko vibaya iweje wewe tena unibadilikie??

Au kunajambo jingine wengi wao wakitoka kazini na mkiwa mme pumzika usiku na labda mwaitaji kufanya tendo la ndoa wife wako atakuambia mimi nimechoka hiyo hali ipo toka Monday to Friday mazeee na huwatokea wengi, ati amechoka amefanya kazi nyingi sana au ana stress zake za huko job, siku nawe ukimjibu ivyo utanuniwa na utazushiwa kuwa una nyumba ndogo na maugonvi yanaanzia hapo sasa mimi huwa siwaelewi wao wanapenda tu wawe wanadekezwa tuuuuuuu au??

Si Love is both way jamani????au it a one way love only??

...dah,

Jethro umenifanya nicheke hiyo eti anataka umuogope...duuuh...
yaani huo mkwala kukumbushia enzi zilee mama mzazi alipokuwa
anakusubiria mlangoni na fimbo ya mpera kwa ulivyochelewea kwenye michezo ya 'tapo', sijui 'kombolela' nk... 😀
 
Ulimpata wapi huyo? Shuleni, Kijijini, Jeshini, Bar, Ofisini, kwenye daladala, au? Mbona wake zetu sisi ni poa tu. Wanatupa raha kinoma!

...wewe na nani mkuu?
 
hawa watu wanamatatizo mkuu, siku zote anajua kununa ndio suluhisho la tatizo lake, na anajua tu kuwa lazima utamuuliza una tatizo gani atakidai bado kuendelea kununa hadi umbembeleze. Hapo utakuta anataka kitu sasa anajua akikuambia kavu kavu unaweza kumtolea nje, ndio maana anaununa ili umuulize kwa kumbembeleza halafu ndio atasema. kama ningekua mimi nami nauchuna kinoma noma

Mkuu, it takes two to tangle!!! lets be fair that haya matatizo yanachangiwa na baadhi ya tabia zetu ingawa nao wanakosea wanapo-overreact na kushindwa kuwa rational
 
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!

Oh how wrong you are;
what about age?
what about rejection?
what about honesty?
what about future plans
what about kids?
what about having the one you love everyday and every night?

I came to know more about women the day i got married
they opened up to me
I understand intimately their values and beauty
i sleep secured
with family life, you know more secrets about women
oooh man!!! despite all problems, i need them more and more
Gamedu!!!
 
oh how wrong you are;
what about age?
What about rejection?
What about honesty?
What about future plans
what about kids?
What about having the one you love everyday and every night?

I came to know more about women the day i got married
they opened up to me
i understand intimately their values and beauty
i sleep secured
with family life, you know more secrets about women
oooh man!!! Despite all problems, i need them more and more
gamedu!!!

respect!!
 
Life is what you make it!!!!! and this is only achieved once you fight for it, just like Fernando Torres, he made it after fighting for his footballing skills and potentials
 
Maisha ya ndoa si ya kila mtu lol!!! MBU punguza kuangalia mpira anza kuangalia sappy TV shows na bibie.
 
Maisha ya ndoa si ya kila mtu lol!!! MBU punguza kuangalia mpira anza kuangalia sappy TV shows na bibie.

...aisee siwezi kuishi bila mke wangu bana!
Nipo so addicted na vituko vyake...

Leo tunataniana na kucheka as if juzi haikuwepo.
Sijui lini tena ataponiletea 'homework' nyingine?

siku nikiomba tena 'mlungula', mjue kumekucha tena!
Ushauri wako nimeupokea Eqlypz, bedtime story leo namsomea
Mills & Boom... 😀
 
Back
Top Bottom