Hiyo ni kampuni, leo anaweza akawa anamiliki X, Y and Z kesho kutwa umiliki ukabadilika kuttokana na uuzaji wa hisa ... all in all hata Gachuma yumo kwenye wamiliki. Huyo ndo mmiliki mkubwa wa NBLSomaia group kama sikosei
shareholderTANZU? Maana yake nini. Mmmh
hahahaahGachuma kama sikosei. Anaidhamini pia shule ya wasichana Nganza. Aisee anawakaza balaa. Daaa!
Kusaga na kukoboa hiyo inaitwaGachuma kama sikosei. Anaidhamini pia shule ya wasichana Nganza. Aisee anawakaza balaa. Daaa!
Una maana gani?Gachuma kama sikosei. Anaidhamini pia shule ya wasichana Nganza. Aisee anawakaza balaa. Daaa!
Hebu weka picha tuzione.Aisee mkuu zile gari zao za kusafirishia soda ni hatari sidhani km tukifuata sheria zitaruhusiwa kufanya kazi
Kwani wamelegea?Gachuma kama sikosei. Anaidhamini pia shule ya wasichana Nganza. Aisee anawakaza balaa. Daaa!
Mwanahisa kwa kiingereza ni nini?shareholder
shareholderMwanahisa kwa kiingereza ni nini?
Inamilikiwa na Sumaria Group Tanzania Limited kwa 60% na CMG 40%. Sumaria ni Group of companies linalomilikiwa na Wahindi raia wa Uingereza, CMG ni kampuni ya Gachuma.Hellow
ni kampuni ya utengenezaji na uuzwaji wa vinywaji baridi vya jamii ya cocacola, kwenye maeneo ya kanda ya ziwa, anaejua mmiliki wake atujuze tafadhali
Gachuma ana hisa kwenye umilikiHellow
ni kampuni ya utengenezaji na uuzwaji wa vinywaji baridi vya jamii ya cocacola, kwenye maeneo ya kanda ya ziwa, anaejua mmiliki wake atujuze tafadhali