Hivi mnafanyaje kuishi na mtu anayenuna?

Yupo mkutanoni huyo.
 
Ninachojua kubadilika kwa hisia au moods ni matokeo ya Depression. Ivyo akili na hisia navyo vyahitaji kuchajiwa au kuhuishwa kama betrii au computer unapo refresh iki jam
 
Hujui mtu anapitia nini, unaweza kufikiri amenuna kumbe ana changamoto nyingine zimemsababishia msongo wa mawazo na anashindwa kucommunicate. Siyo kila kitu ni personal 😒
 
Mambo ya kawaida hayo Kuna mda binadamu anakuwa hivyo hataki kucheka na wowote. But hali hiyo hufika mwisho na anarudi kuwa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…