Sasa uwongo umekuja vipi hapa, nimesema lugha siku zote mwanamke ukimtaka lazima uwe mkweli na uwe unamsifia...ukianza uwongo ujuwe unakosa yote.in other words kwa mwanaume uongo muhimu na kwa mwanamke kujiremba ni priority hata kama kichwani hana kitu,au sio?
Hongera TYPOID umeongea atakaye kataa yeye ni ameamua kubisha lakin ukweli ndio huo
Hivyo ndivyo mnavyosema, lkn nani anajua nini mwanamke anataka?
wanaowajali wapenzi wao wanajua nini wanataka.
na wakishajua tunachotaka wanatupatia bila kinyongo..
wewe na Amyner mnaongelea nini?umeona eeh!
wewe na Amyner mnaongelea nini?
Nimeelewa, but I don't share your enthusiasm. Mimi nahisi sijaeleweka bado.wanaume kujua mahitaji yetu na kutupatia bila kinyongo. Umeelewa cousin?
Nimeelewa, but I don't share your enthusiasm. Mimi nahisi sijaeleweka bado.
Sina hata huyo wa kua responsible! mi sina tu, period! lolhuo mtihani, kuna mambo mengine lazima awe responsible bila kuambiwa ila ukiona haelewi inabidi kumwelewesha.
Sina hata huyo wa kua responsible! mi sina tu, period! lol
Wacha hivo, it's not funny..."Yule"...
Wacha hivo, it's not funny...
it is not funny sababu mwenzio sina halafu wewe unasema yupo.:lol::lol::lol:
it is not funny sababu mwenzio sina halafu wewe unasema yupo.
na wala sio vingine!