Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kuna kisa kimoja kilitokea marekani ambacho mama mmoja alijikuta mikononi mwapolisi baada ya kwenda kituoni kuanza kueleza kuwa eneo fulani kuna mwili wa mtu fulani nendeni mkautoe.
Lile jambo liliwashtua polisi na kuanza kufanyia uchunguzi ila kutokana na umbali mfano tuseme mama yule yupo aliyepeleka ile ripoti mfano ostabey polisi na tukio lipo katavi.
Uzuri wa wenzetu hata kama ni umbali kiasi gani watakwenda ikabidi watume kikosi kufatilia na kweli mwili ukapatikana.
Kutokana na maelezo yale polisi wakamkamata yule mama inawezekana yeye ndio muhusika kwa nini kajua?.
Kilichowashangaza polisi ni kwamba yule mama anasema aliingiwa na kama kitu mwilini mwake na mpaka amefika polisi hafahamu kama alikuwa ni yeye ila kiufupi ni ile roho ya yule aliyefariki kule.
Tuje kwenye mada hii kuhusu maisha ya wanadamu na roho zao.kwenye dini nyingi inashindwa kuzungumzia maana kuna siri nyingi ambazo zikijulikana zinaweza kuwafumbua watu.
Kwa upande wa wahaindi wanaaamini kuwa wanadamu roho zao zinaweza kubaki hapa na kujirudia kwa mnyama,wanadamu na n.k
Hakuna kitu ambacho wengi ujidanganya mtu anapouliwa au kujiua ukasikia wana kwambia ni mipango ya mungu ilo ni kosa.
Kama siku zake zijafika lazima abaki hapa duniani na kama akitakiwa kurudiwa upya anaenda kuzaliwa tena.
SIJUI ILIKUWA MAKALA GANI WASAFI TV THE STORY BOOK WALIELEZA KUHUSU HAYA
Lile jambo liliwashtua polisi na kuanza kufanyia uchunguzi ila kutokana na umbali mfano tuseme mama yule yupo aliyepeleka ile ripoti mfano ostabey polisi na tukio lipo katavi.
Uzuri wa wenzetu hata kama ni umbali kiasi gani watakwenda ikabidi watume kikosi kufatilia na kweli mwili ukapatikana.
Kutokana na maelezo yale polisi wakamkamata yule mama inawezekana yeye ndio muhusika kwa nini kajua?.
Kilichowashangaza polisi ni kwamba yule mama anasema aliingiwa na kama kitu mwilini mwake na mpaka amefika polisi hafahamu kama alikuwa ni yeye ila kiufupi ni ile roho ya yule aliyefariki kule.
Tuje kwenye mada hii kuhusu maisha ya wanadamu na roho zao.kwenye dini nyingi inashindwa kuzungumzia maana kuna siri nyingi ambazo zikijulikana zinaweza kuwafumbua watu.
Kwa upande wa wahaindi wanaaamini kuwa wanadamu roho zao zinaweza kubaki hapa na kujirudia kwa mnyama,wanadamu na n.k
Hakuna kitu ambacho wengi ujidanganya mtu anapouliwa au kujiua ukasikia wana kwambia ni mipango ya mungu ilo ni kosa.
Kama siku zake zijafika lazima abaki hapa duniani na kama akitakiwa kurudiwa upya anaenda kuzaliwa tena.
SIJUI ILIKUWA MAKALA GANI WASAFI TV THE STORY BOOK WALIELEZA KUHUSU HAYA