Hivi mnajuaje kwamba uyu ni Mwanamke au mwanaume mpaka mnatongozana uku ndani?

Hivi mnajuaje kwamba uyu ni Mwanamke au mwanaume mpaka mnatongozana uku ndani?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Mimi nashindwa kuelewa member uwa mnatumia mbinu gani mpaka mnaanza kutongozana uku ndani?

Mnajuaje kwamba uyu ni mwanamke na uyu ni mwanaume?

Hivi wengine uwa hamlizwi kweli?

Unamwaminije mtu kwa kusoma comment yake?

Au kuangalia picha anayotumia kwenye profile yake?

Yaani unamfata mtu inbox uelewi miaka yake, tabia zake ameolewa au ajaolewa, ameoa au hajaoa!

Au wanawake na wanaume waliopo humu wana tofauti gani na waliopo mtaani.

Binafsi siwezi kumfata mtu inbox kwa namna yeyote ile labda liwe swaka secret sana kama biashara mambo mengine tunamalizana apa apa kila mtu aone.
 
Najitanaabisha kama me humu ila nilipoweka ka avatar ka msichana nimepokea pm za mtongozo kama 3..
Bado kuitwa bebi kwenye majukwaa..
Malaya ni kama nzi..hachagui kidonda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najitanaabisha kama me humu ila nilipoweka ka avatar ka msichana nimepokea pm za mtongozo kama 3..
Bado kuitwa bebi kwenye majukwaa..
Malaya ni kama nzi..hachagui kidonda

Mkuu unaweza kuta waliokufwata walifahamu kwamba wewe ni Ke na walikuwa na nia njema ya kukuoa, kama kweli ungekuwa Ke na labda si Malaya

Ila pole sana Aiseee
 
Back
Top Bottom