We jamaa nimecheka aiseeKwa mwandiko wako tu wewe ni mwanaume...
Haujaoa bado lakini una mchuchu ambaye haupo serious naye kivileee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wamekufanya nn?! Lord forbid
Wapo wanao vumilia ila sio wwoteEti kumbe mnavumilia mengi huko piemu ?
HahahahahWatu wanapata hadi mabasha humu ndani, sembuse hilo!
Unatakiwa kujitoa ufahamu tu, na mwisho unapata ukitakacho!
Kwa mwandiko wako tu wewe ni mwanaume...
Haujaoa bado lakini una mchuchu ambaye haupo serious naye kivileee
Hahahaa kama vipi aulizwe chizi maarifa na jamaa yule wa marekani hahahaha
Ukiwa baharia lazima ujue tuu,.tuna "teknik" zetu flan hivi hata ukiona nukta tuu unajua huyu mnyamwezi au mpogoro,.
Usiwe na wasiwasi mleta mada, mengine ni ajali kazini lakini humu ndani ndoa zimefungwa na watoto wamepatikana.
Kila penye kheri shari lazima itie pua.
Ukiwa baharia lazima ujue tuu,.tuna "teknik" zetu flan hivi hata ukiona nukta tuu unajua huyu mnyamwezi au mpogoro,.
Mtu ambaye anajiita baharia, lakini yeye sio baharia unategemea nini.
Nahisi wengi ni waimba visingeliš
kabisa hili neno Ni kipuuzi Sana limeshika Kasi Kila Kona baharia huu Ni ujinga kujiita baharia Hali ya kua ww si baharia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza lini kupiga ramli?Kwa mwandiko wako tu wewe ni mwanaume...
Haujaoa bado lakini una mchuchu ambaye haupo serious naye kivileee
My CW...lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Damn!