Afueni humu kuitwa ke/me na hata ukatongozwa na me/ke mwenzio kuliko kutukaniwa mama yako mzazi ambaye yuko huko shamba alima hata hajui na hana habari kuhusu JamiiForums au hata mitandao ya kijamii.Inauma sana.Najitanaabisha kama me humu ila nilipoweka ka avatar ka msichana nimepokea pm za mtongozo kama 3..
Bado kuitwa bebi kwenye majukwaa..
Malaya ni kama nzi..hachagui kidonda
My CW...lol
Wa kutukana unakuta ni ujinga tu ako nayo kichwani maana haiingii akilini mtu anakutukana hajui mama ako yuko wapi, yukoje, na anasahau pia km na mama ake yuko vilevileAfueni humu kuitwa ke/me na hata ukatongozwa na me/ke mwenzio kuliko kutukaniwa mama yako mzazi ambaye yuko huko shamba alima hata hajui na hana habari kuhusu JamiiForums au hata mitandao ya kijamii.Inauma sana.
π€¦ββοΈπ€¦ββοΈdaahπWapogoro unatufahamu Vipi ? [emoji23]
Tena anaonekana kabila lake ni muhaya (kwa mwandiko wake tu technically )Kwa mwandiko wako tu wewe ni mwanaume...
Haujaoa bado lakini una mchuchu ambaye haupo serious naye kivileee
Hyu atakuwa anataka vyote kwa wakat mmoja sema tu kazunguka sna [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Sasa mkuu ndio kusema unaomba Samaki au unahitaji Ndoano?
Bado sijakupata.
NB
maendeleo hayana chama
Najitanaabisha kama me humu ila nilipoweka ka avatar ka msichana nimepokea pm za mtongozo kama 3..
Bado kuitwa bebi kwenye majukwaa..
Malaya ni kama nzi..hachagui kidonda
yeah umesomeka mnooo tunajuana kwa code hapaUkiwa baharia lazima ujue tuu,.tuna "teknik" zetu flan hivi hata ukiona nukta tuu unajua huyu mnyamwezi au mpogoro,.
Umeliona hilo kumbe.Hyu atakuwa anataka vyote kwa wakat mmoja sema tu kazunguka sna [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwani ni lazima kuweka picha ya aina fulani tu.? Wewe mbona hujaweka ya jinsia yakoUkisikia vichocheo vya ushoga ni hivyo sasa, kama wewe ni dume unaweka picha za kike ili iweje?mnapata mnachokitaka
Kwani ni lazima kuweka picha ya aina fulani tu.? Wewe mbona hujaweka ya jinsia yako
What do you care nikiwa girl or boy?Lame argument kwa mtu unayejiita mwanaume
π π π π π atakutolea povu ila ukweli ndio huoUkisikia vichocheo vya ushoga ni hivyo sasa, kama wewe ni dume unaweka picha za kike ili iweje?mnapata mnachokitaka
What do you care nikiwa girl or boy?
Kwa huu mwandiko unahisi unamdanganya nan we ni demAcha ufala jombii usinipakazie ushubwada...unadhani baharia ni wakuna pumbu tuu??!
HahahaMimi nashindwa kuelewa member uwa mnatumia mbinu gani mpaka mnaanza kutongozana uku ndani?
Mnajuaje kwamba uyu ni mwanamke na uyu ni mwanaume?
Hivi wengine uwa hamlizwi kweli?
Unamwaminije mtu kwa kusoma comment yake?
Au kuangalia picha anayotumia kwenye profile yake?
Yaani unamfata mtu inbox uelewi miaka yake, tabia zake ameolewa au ajaolewa, ameoa au hajaoa!
Au wanawake na wanaume waliopo humu wana tofauti gani na waliopo mtaani.
Binafsi siwezi kumfata mtu inbox kwa namna yeyote ile labda liwe swaka secret sana kama biashara mambo mengine tunamalizana apa apa kila mtu aone.
Ramli hiiKwa mwandiko wako tu wewe ni mwanaume...
Haujaoa bado lakini una mchuchu ambaye haupo serious naye kivileee