Hivi mnanichukuliaje hapa Jukwaani?

Hivi mnanichukuliaje hapa Jukwaani?

Applicant

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2020
Posts
1,962
Reaction score
1,751
Kwani naandikaga vitu vya ajabu sana au vya kushangaza?! Maana kila nikianzisha thread mpya lazima wadau wake kwa waume waje PM, wengine wanasema "Natamani siku nikuone nione kama vitu unavyoandika unafanana navyo".

Inanishangaza sana.

Mwingine Ninaweza nikapost thread Lakini akaja kuchekea PM kwangu nakutana na emoji tuu "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"
najiuliza ameshindwa kuchekea kulekule kwenye thread?

Haina shida lakini tupo pamoja.

Mike Pompeo
Director of Federal Bureau of Investigation,
Washington District of Columbia 'DC
minesota House 3rd Floor.
US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wape nafasi wakuone
Wathaminishe kama unafanana na unavyoleta humu.
 
Sasa kwa thread kama hii kwanini nisije PM kwa style hii [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Kwani naandikaga vitu vya ajabu sana au vya kushangaza?! Maana kila nikianzisha thread mpya lazima wadau wake kwa waume waje PM, wengine wanasema "Natamani siku nikuone nione kama vitu unavyoandika unafanana navyo".

Inanishangaza sana.

Mwingine Ninaweza nikapost thread Lakini akaja kuchekea PM kwangu nakutana na emoji tuu "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"
najiuliza ameshindwa kuchekea kulekule kwenye thread?

Haina shida lakini tupo pamoja.
.
.
.
.
.

Mike Pompeo
Director of Federal Bureau of Investigation,
Washington District of Columbia 'DC
minesota House 3rd Floor.
US.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a.gif
 
Back
Top Bottom