Hivi mnanichukuliaje hapa Jukwaani?

Hivi mnanichukuliaje hapa Jukwaani?

Kwani naandikaga vitu vya ajabu sana au vya kushangaza?! Maana kila nikianzisha thread mpya lazima wadau wake kwa waume waje PM, wengine wanasema "Natamani siku nikuone nione kama vitu unavyoandika unafanana navyo".

Inanishangaza sana.

Mwingine Ninaweza nikapost thread Lakini akaja kuchekea PM kwangu nakutana na emoji tuu "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"
najiuliza ameshindwa kuchekea kulekule kwenye thread?

Haina shida lakini tupo pamoja.

Mike Pompeo
Director of Federal Bureau of Investigation,
Washington District of Columbia 'DC
minesota House 3rd Floor.
US.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni under 18
 
kuna mda unawaza kwa kasi kiasi kwamba unachoandika kinakosa mashiko, bora ungefanya hii kwenye thread moja ya jokes and gossip shida ni kwamba unavamia kila thread. Huu ni mtazamo usinikunjie mdomo bro 😂😂😂😂
 
Kwani naandikaga vitu vya ajabu sana au vya kushangaza?! Maana kila nikianzisha thread mpya lazima wadau wake kwa waume waje PM, wengine wanasema "Natamani siku nikuone nione kama vitu unavyoandika unafanana navyo".

Inanishangaza sana.

Mwingine Ninaweza nikapost thread Lakini akaja kuchekea PM kwangu nakutana na emoji tuu "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"
najiuliza ameshindwa kuchekea kulekule kwenye thread?

Haina shida lakini tupo pamoja.

Mike Pompeo
Director of Federal Bureau of Investigation,
Washington District of Columbia 'DC
minesota House 3rd Floor.
US.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndiyo naiona leo Post yako na bado havutii. Upuuzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Back
Top Bottom