Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

Watanzania wengi tunataka ajira .juhud zetu kwenye elimu ni ajira
Mimi ni mmoja wa hizo kozi ambazo zaidi hazitambuliwi hata na ajira portal .nachukua bsc physics .. Ndo zangu ni kuja kujiajiri kama electronic technician kitu ambacho tayar nimeanza kufanyia kazi.. Kuchekwa kudhauliwa tumezoea pengine si hawa tu hta wakufunzi wetu wamekuwa wakitudhika lakin yote kwa yote mnapo tuchekia muombe simu zenu na redio zisiharibike maana ajira zake hazipo portal
 
Watanzania wengi tunataka ajira .juhud zetu kwenye elimu ni ajira
Mimi ni mmoja wa hizo kozi ambazo zaidi hazitambuliwi hata na ajira portal .nachukua bsc physics .. Ndo zangu ni kuja kujiajiri kama electronic technician kitu ambacho tayar nimeanza kufanyia kazi.. Kuchekwa kudhauliwa tumezoea pengine si hawa tu hta wakufunzi wetu wamekuwa wakitudhika lakin yote kwa yote mnapo tuchekia muombe simu zenu na redio zisiharibike maana ajira zake hazipo portal
Bsc n physics ina soko ndugu yangu board ya atomic mnaitajika watu kama nyiny pia hosptal namnaitaji radiation dose calculation
 
Me sijakataa ajira zipo lakini watu wanakurupuka from nowhere kuanza kuzungumza jambo ambalo hana uhakika nalo
 
Back
Top Bottom