Hivi mnawezaje kuishi na wanawake wenye lawama lawama,vinyongo,hasira na kelele muda wote?

Hivi mnawezaje kuishi na wanawake wenye lawama lawama,vinyongo,hasira na kelele muda wote?

Tajiri wa matajiri

Senior Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
166
Reaction score
649
Hivi mnawezaje kuishi na hii ya wanawake? Wakuu ebu mnieleweaheni aisee labda kwa sababu ya ugeni au nini aisee aisee ipo hivi huyu mwanamke nilimuoa tena kwa mahari si haba kidogo nakahisi labda yupo tofauti na wanawake wengine wa mjini na ukizingatia kwenye kabila lile la kanda ya ziwa ambalo kwa miaka mingi limesifika kwamba wanawake wake wana heshima aisee kumbe? Wewe kijana ambaye haujaoa aisee usioe kabila oa mwanamke mwenye brain na character aiseee

Mwanamke inafikia hatua anakuambia eti ukiniacha mimi hautapata mwanamke mwingine kama mimi na pia anakuambia eti ukiniacha mimi nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari kubwa sana nakasema huyu ngoja nimuoneshe nikamrudisha kwao that time alikuwa na ujauzito na akajifungua tu Ila baada ya kupata mtoto amekuwa na kisirani kila siku aisee eti oooh mbona haupigi simu kumuuliza mtoto Hali yake na simu kwa simu anaweza kupiga zaidi ya mara 5 mpaka inanikera

Na sasa anaomba msamaha arudi kwangu eti tulee mtoto ila akifikisha miaka miwili ndipo nimuache nikajisemea kimoyo moyo nikasema usinitanie mie mwanamke mpumbavu harudiwi akirudi kwako utaomba poo

Halafu ndugu zake walivyo michosho sasa kutwa kupiga simu wakitaka niwamalizie mahari iliyobaki nikajisemea kimoyo moyo siwamalizii mahari nitamalizia mahari vipi kwa mwanamke mjinga hivyo? Potelea pote wao si hawakumfunza mtoto wao?

Mwanamke anarusha ngumi kumpiga mume wake? Maneno ya kejeli na mwanamke ana hasira kama nini

Moderator uzi mtaupeleka kule kwenye jukwaa husika nimeandika kwa hasira mpaka nikashindwa kuupeleka kwenye jukwaa husika aisee
 
Hivi mnawezaje kuishi na hii ya wanawake? Wakuu ebu mnieleweaheni aisee labda kwa sababu ya ugeni au nini aisee aisee ipo hivi huyu mwanamke nilimuoa tena kwa mahari si haba kidogo nakahisi labda yupo tofauti na wanawake wengine wa mjini na ukizingatia kwenye kabila lile la kanda ya ziwa ambalo kwa miaka mingi limesifika kwamba wanawake wake wana heshima aisee kumbe? Wewe kijana ambaye haujaoa aisee usioe kabila oa mwanamke mwenye brain na character aiseee

Mwanamke inafikia hatua anakuambia eti ukiniacha mimi hautapata mwanamke mwingine kama mimi na pia anakuambia eti ukiniacha mimi nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari kubwa sana nakasema huyu ngoja nimuoneshe nikamrudisha kwao that time alikuwa na ujauzito na akajifungua tu Ila baada ya kupata mtoto amekuwa na kisirani kila siku aisee eti oooh mbona haupigi simu kumuuliza mtoto Hali yake na simu kwa simu anaweza kupiga zaidi ya mara 5 mpaka inanikera

Na sasa anaomba msamaha arudi kwangu eti tulee mtoto ila akifikisha miaka miwili ndipo nimuache nikajisemea kimoyo moyo nikasema usinitanie mie mwanamke mpumbavu harudiwi akirudi kwako utaomba poo

Halafu ndugu zake walivyo michosho sasa kutwa kupiga simu wakitaka niwamalizie mahari iliyobaki nikajisemea kimoyo moyo siwamalizii mahari nitamalizia mahari vipi kwa mwanamke mjinga hivyo? Potelea pote wao si hawakumfunza mtoto wao?

Mwanamke anarusha ngumi kumpiga mume wake? Maneno ya kejeli na mwanamke ana hasira kama nini

Moderator uzi mtaupeleka kule kwenye jukwaa husika nimeandika kwa hasira mpaka nikashindwa kuupeleka kwenye jukwaa husika aisee
Ndoa ni kipimo cha akili,kama ziko timamu au zimehama.Anyway,kikubwa ni kuvumiliana mapungufu yenu,ukiweza hilo walau kwa miaka mitano hivi misuguano inapungua. Ukitaka kuacha na kuoa mwingine,hao ni wale wale,dunia ishavaa kibwaya hii. Pambana
 
Tunataka tutolewa mahari mkuu
Tatizo si mnalotaka, tatizo ni ukweli wa mambo.

Unalotaka ni haki yako ya kibinadamu.

Mtu akulinganishe na ng'ombe kadhaa, akununue.

Halafu ukiolewa unakuwa mtumwa wake, kwa sababu kakununua kwa ng'ombe kadhaa.

Na wewe unakuwa kama ng'ombe wake.
 
Tatizo si mnalotaka, tatizo ni ukweli wa mambo.

Unalotaka ni haki yako ya kibinadamu.

Mtu akulinganishe na ng'ombe kadhaa, akununue.

Halafu ukiolewa unakuwa mtumwa wake, kwa sababu kakununua kwa ng'ombe kadhaa.

Na wewe unakuwa kama ng'ombe wake.
Wala hakuna shida hata nikiwa kama mbwa wake kikubwa mahari itolewe mkuu
 
Hivi mnawezaje kuishi na hii ya wanawake? Wakuu ebu mnieleweaheni aisee labda kwa sababu ya ugeni au nini aisee aisee ipo hivi huyu mwanamke nilimuoa tena kwa mahari si haba kidogo nakahisi labda yupo tofauti na wanawake wengine wa mjini na ukizingatia kwenye kabila lile la kanda ya ziwa ambalo kwa miaka mingi limesifika kwamba wanawake wake wana heshima aisee kumbe? Wewe kijana ambaye haujaoa aisee usioe kabila oa mwanamke mwenye brain na character aiseee

Mwanamke inafikia hatua anakuambia eti ukiniacha mimi hautapata mwanamke mwingine kama mimi na pia anakuambia eti ukiniacha mimi nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari kubwa sana nakasema huyu ngoja nimuoneshe nikamrudisha kwao that time alikuwa na ujauzito na akajifungua tu Ila baada ya kupata mtoto amekuwa na kisirani kila siku aisee eti oooh mbona haupigi simu kumuuliza mtoto Hali yake na simu kwa simu anaweza kupiga zaidi ya mara 5 mpaka inanikera

Na sasa anaomba msamaha arudi kwangu eti tulee mtoto ila akifikisha miaka miwili ndipo nimuache nikajisemea kimoyo moyo nikasema usinitanie mie mwanamke mpumbavu harudiwi akirudi kwako utaomba poo

Halafu ndugu zake walivyo michosho sasa kutwa kupiga simu wakitaka niwamalizie mahari iliyobaki nikajisemea kimoyo moyo siwamalizii mahari nitamalizia mahari vipi kwa mwanamke mjinga hivyo? Potelea pote wao si hawakumfunza mtoto wao?

Mwanamke anarusha ngumi kumpiga mume wake? Maneno ya kejeli na mwanamke ana hasira kama nini

Moderator uzi mtaupeleka kule kwenye jukwaa husika nimeandika kwa hasira mpaka nikashindwa kuupeleka kwenye jukwaa husika aisee
Maisha yenyewe changamoto tosha.. Kwanini ujiongezee matatizo? Piga chini ASAP
 
kikubwa ni kuvumiliana mapungufu yenu,ukiweza hilo walau kwa miaka mitano hivi misuguano inapungua.
Ahahahaha hapana mkuu usikariri vibaya... mimi misuguani ilianza after 5 good cool years. Wengine inaanza uzeeni wengine after 10 yrs 😂😂
 
Siwezi kuruhusu mtu anisumbue akili yangu au anikere hata dakika moja.

Ama niondoke mimi ama aondoke yeye. Nitamfurusha dakika ziro.

Sina muda wa kuvumiliana, mara ati sijui ndoa ni uvumilivu....ati ndoa ni kuwa mvumilivu.... SINA UVUMILIVU HATA CHEMBE, UKIZINGUA NAKUFURUSHA.

Yaani inawezekanaje nivumilie mateso ya kujitakia?? FUKUZA.
 
Siwezi kuruhusu mtu anisumbue akili yangu au anikere hata dakika moja.

Ama niondoke mimi ama aondoke yeye. Nitamfurusha dakika ziro.

Sina muda wa kuvumiliana, mara ati sijui ndoa ni uvumilivu....ati ndoa ni kuwa mvumilivu.... SINA UVUMILIVU HATA CHEMBE, UKIZINGUA NAKUFURUSHA.

Yaani inawezekanaje nivumilie mateso ya kujitakia?? FUKUZA.
Mzee wa vijambio, kwan wewe ni ke au me??
 
Back
Top Bottom