Hivi mnawezaje kuishi na wanawake wenye lawama lawama,vinyongo,hasira na kelele muda wote?

Mchuma janga hula na wa kwao wakati unakimbilia kuoa ulikuja kuomba ushauri ? ulifuata ushauri ?

 
Tako analo au hana tujue tunaanzia wapi
 
Wanaume!
Inabidi ifike mahali tukubali tu hii ni khatma yetu!
Hauwezi kuwakwepa wanawake maisha Yako yote!
Jamii haitokuelewa na wewe mwenyewe utajiona hujatimia!
Ni kama nyuki au jamii nyingine za wadudu ambayo hufa baada ya ku-mate tu!

Ni bahati mbaya wanawake wanalijua hili na hawatakaa waache! Hata tutor machozi ya damu!
 
Piga chini hiyo Mbuzi,
Kwanini ujitese na maisha yenyewe haya ni mafupi?
 
Hapo ni kujigeuza Shozniga tu majibu mafupi yenye hitimisho, akiuliza utakuja lini kumuona mtoto sema I'LL BE BACK

Usumbuf ukizidi mwandikie ASTALAVISTA BABY!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…