Hivi mnazungumziaje bifu la Shilole na Esha Buheti, mbona limefika pabaya sana

Chai.
 
Sijasoma ulichoandika...

Ila kwa namna ninavyoliona ni Mashangazi wawili waliokaa wakakubaliana kutumia mbinu hiyo kama Marketing strategy ya kuwaongezea wateja...

Kilichobaki wewe na wengine mnaofatilia Hilo bifu Kila mmoja akafagie kwake..
 
Bro umekosa mishe za kutafuta hela mpaka unapoteza muda kutuandikia habari kike? Mbaya zaidi unasema upo upande wa Shishi serious? Wanaume wanapenda sana udaku siku hizi kama mademu. Acha hii tabia mara moja.
 
Crap
 
Huu uzi nahisi umeanzishwa na serengeti

#utabiri na nyota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…