Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mawazo ya ajabu sana.Huyo mlinzi alikuambia halipwi ujira wake?Hilo shamba ulienda mwaka gani?Ulikuwa unapita tu au safari yako ilikuwa ufike hapo?Utajiri wake haufanani na uhalisia.
Kuna siku nilikwenda Kisarawe ana eneo heka 150 lakini Pori tupu.
Nliibahatika kuonana na mlinzi wa eneo lile akanipiga kizinga,,
Eti hali mbaya sn.
Dah!! [emoji23][emoji23][emoji23].
Eti mlinzi wa shmba wa tajiri top 10 Africa ananipigia kizinga.
Shamba mwaka huu mkuu..Mawazo ya ajabu sana.Huyo mlinzi alikuambia halipwi ujira wake?Hilo shamba ulienda mwaka gani?Ulikuwa unapita tu au safari yako ilikuwa ufike hapo?
Kuwa na shamba ni jambo moja.Na kupanga kwa umakini matumizi yake hufuata baadaye.Shamba mwaka huu mkuu..
Jamaa ana shamba lipo mzenga ,,kisarawe.
Kwanza hata hyo nyumba ya mlinzi aibu tupu.
Kwahyo mlinzi anapoishi nyumba yenye crakes ukutani,Kuwa na shamba ni jambo moja.Na kupanga kwa umakini matumizi yake hufuata baadaye.
Ulitaka mlinzi ajengewe kajighorofa kenye samani ndani ili alale vizuri na kusahau lindo?Kwani kazi ya mlinzi ni ipi hasa?
Ukipewa mafunzo ya kiaskari na ubunifu utafundishwa/akili za kujiongeza.Nyufa zitamsaidia kuwaona maadui kwa urahisi.Dari la nini sehemu yenye joto huko.Ukimuona tena huyo mlinzi mwambie aache kujidekeza.Kwahyo mlinzi anapoishi nyumba yenye crakes ukutani,
Na ceiling board kufumuka ni Sawa?
Sawa mkuuUkipewa mafunzo ya kiaskari na ubunifu utafundishwa/akili za kujiongeza.Nyufa zitamsaidia kuwaona maadui kwa urahisi.Dari la nini sehemu yenye joto huko.Ukimuona tena huyo mlinzi mwambie aache kujidekeza.
Hajui kama hela zinaisha kalipwa hela kaishiwa kwanini asililie njaa.si ni sawa na serikali ina hela lakini watumish wake wakiishiwa wanalia..mshahara haujawahi kutoshaMawazo ya ajabu sana.Huyo mlinzi alikuambia halipwi ujira wake?Hilo shamba ulienda mwaka gani?Ulikuwa unapita tu au safari yako ilikuwa ufike hapo?
Yaani unaandika kama vile tumekaa kijiweni! Eti ikiingia laki moja! laki moja nini, shilingi, yuro au dola?Tuseme bilionea yupo asubuhi ofisini anaendelea na majukumu Mara ghafla inaingia laki moja kwenye simu kimakosa,je hapa bilionea hawezi kuacha shughuli zake na kuchukua lifti kwenda kwa wakala kuwahi kuitoa?
Hapa tunaongelea bilionea anayewalipa wafanyakazi wake wa viwandani chini ya laki 2 kwa mwezi.
Hawezi kuchukua hii na ikamsaidia kidogo kwenye mambo yake?