Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Anakuona wewe ni kama baba yake wa kumzaa ila unatamaa za kimwili na visichana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nyumba ya wapangaji ya Mzee karibu na kwa Shao nilenda kucheki ustarabu. Nilikuita hukunisikiaDuh kweli aisee😂😂😂
inawezekana unavaa mashati ya vitenge au unanyoa mustache na kuacha vistari viwili kama hayati mwalimu nyerere.Sasa mbona me sijakaa hata kidingi mkuu?
Utakuwa na mambo ya kizee, sasa hata maana ya mubaba tu hujui unajiona kijana, akili yako ishakuwa ya kidingi sana, jiongeze eboo🙄🙄34 ni mzee mkuu?
Mubaba..mutu ya maana, mutu ya wallet, sio mchoyo wa fadhilaHeri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
😂😂😁😁😁😁😁😁 abeeeeee.inawezekana unavaa mashati ya vitenge au unanyoa mustache na kuacha vistari viwili kama hayati mwalimu nyerere.
Manzi yako ana umri gani?34 ni mzee mkuu?
Ulitaka akuite "mumama au jimama"? UnashangazaHeri ya jumapili wakuu
Sijui niko nyuma ya ulimwengu au ndio uzee unanisumbua.
Hivi mpenzi wako wa kike anapokuita we mwanaume wake "MUBABA" anakua na maana gani?
Maana kuna kibinti hivi vya mwaka elfu 2 kinapenda kuniita mubaba na wakati me bado yanki kabisa,sasa nimeshindwa kukihoji nikaona nije kwanza niwaulize humu nyie wadau.
Mubaba maana yake ni nini wakuu?
Ni kweli!Isikutishe ni trending tu ilo Jina
Pili wanaitwa wanaume waliowazid umri wapenz wao na wanaohudumia vizuri wanawake zao
Ndio maana anakuita hivyo umemzidi miaka mingi
Ulipotelea wapi au ulitekwaIsikutishe ni trending tu ilo Jina
Pili wanaitwa wanaume waliowazid umri wapenz wao na wanaohudumia vizuri wanawake zao