Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Waulize Voda!Wakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize Voda!Wakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
Asante mkuuNimepokea refund toka AliExpress kupitia M-Pesa mara mbili.
Ni kama benki unWakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
Kama hujaelewa omba kueleweshwa wanzako wote huku nyuma wamenielewa ila wewe naona ndio kwanza unajitia ujuajiNi kama benki un
umenunua gari toka nje ukakuta hata injini halina utawadai benki wakurudishie pesa zako? Kwani wao wanauza magari? Wadai huko ulikonunua
HaiwezekaniWakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
Shukrani mkuu seller kasha kubali nasubiri AliExpress warudisheKama umenunua kitu kimakosa unacancel kule AliExpress then Wana muda pesa Yako itarudishwa ila makato ya kufanya hiyo transaction yatakatwa... AliExpress Iko clear kabisa...soma maelezo vizuri..Mimi nilishacancel mara kibao na pesa zinarudi ila zinachelewa kidogo na zikirudi sometimes huwa zinaingia kimya kimya unakuta card Yako inasoma Salio
Ndio itarudi kama ikirudishwa na AliExpress, nilishawahi kufungua disputes ikakubaliwa na pesa ililejea, kipindi mile m-pesa matter card, nadhani hata hii itarudiWakuu ni hivi nimee nunua kitu AliExpress. Sasa kimekuja model tofauti Sasa nimeapply refund Sasa naomba kuuliza kama naweza pokea refund zangu kuja kwenye mpesa visa card
Shukrani mkuu amerefund mwenye pasipo AliExpress kusolve disputeNdio itarudi kama ikirudishwa na AliExpress, nilishawahi kufungua disputes ikakubaliwa na pesa ililejea, kipindi mile m-pesa matter card, nadhani hata hii itarudi