Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Zinaa ilianza tangu zamani za kale hata kabla ya kuja Bwana Yesu kristo hapa duniani ktk mwili. Hakuna Jipya chini ya jua. Wayahudi walitatanishwa na mafundisho ya Bwana Yesu kristo hata wakakata tamaa kwani walipenda sana zinaa kama sisi watu wa leo. Bwana Yesu kristo hakutaka kuwafariji alikomelea msumari kwa kukazia mafundisho yake alipowaambia... Amtazamae mwanamke kwa kutazamani anakuwa amezini naye rohoni hivyo Mungu humhesabu na kumhukumu kama mzinzi yeyote yule. Wazinzi sehemu yao ni jehanamu ya moto. Dada kama hawa siyo wao bali shetani na ibilisi huwadanganya na huwatumia ili kuwakosesha wanaume wengi. Kupitia picha zake wanaume wengi wanamtamani kingono na hivyo huingia ktk kutenda dhambi ya uzinzi /uasherati bila ridhaa au kujua. Dawa ni KUOKOKA.
 
Lazima urambe kijambio hapa



Mshua hizo ni camera angles and posing tricks...in a live social setting,hilo tako ni kilo za kawaida sana...

Hizi camera na picha za madem insta ni mbali kabisa na uhalisia..


Ni kama Masogange alidanganya umma mzima eti yeye ndio ana tako East Africa nzima,jesus christ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...na watu wakaamini eti..

I can tell,wanajua kujipromote aisee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kaiba au kavunja sheria haya maisha ya kufuatiliana mnayo nyie mnaokaa uswahilini yeye ana ndugu na wako na Amani familia zetu wengine fanya jambo ili mradi umefikisha miaka 18+ hakuna shida kila mtu aishi kivyake I like life wanaishi wazungu kila mtu anaishi kivyake na maisha yanaenda
Wafrica hatujafika uko kwa Wazungu huyo hana hata uhakika wa Maisha bila kufanya kazi kwa mwaka mmoja ,Wazungu wamejiandaa ndio mana Familia zako ni Baba,mama na mtoto mzungu Anandaa pesa ya kutumia Miaka mingi mbele, Huyo akianza Kujiharishia leo Kwa Maradhi unadhani Kina nani watapata mzigo? Kama sio ndugu Hao marafiki wa Mijini huko sana sana wataishia kukupost na Get well soon kibao mitandaoni, Tuache uzungu hali zetu bado ndio maana tuna uguzana na kuzikana pindi tukifikia Level ya uhakika wa maisha kwa miaka mingi mbele tunaweza ku adopt Uzungu but not now.
 
Wafrica hatujafika uko kwa Wazungu huyo hana hata uhakika wa Maisha bila kufanya kazi kwa mwaka mmoja ,Wazungu wamejiandaa ndio mana Familia zako ni Baba,mama na mtoto mzungu Anandaa pesa ya kutumia Miaka mingi mbele, Huyo akianza Kujiharishia leo Kwa Maradhi unadhani Kina nani watapata mzigo? Kama sio ndugu Hao marafiki wa Mijini huko sana sana wataishia kukupost na Get well soon kibao mitandaoni, Tuache uzungu hali zetu bado ndio maana tuna uguzana na kuzikana pindi tukifikia Level ya uhakika wa maisha kwa miaka mingi mbele tunaweza ku adopt Uzungu but not now.

Hata wewe unawesa jiharishia na ndugu wakakupita kando full stop kila mtu anaish atakavyo tusipangiane
 
Hata wewe unawesa jiharishia na ndugu wakakupita kando full stop kila mtu anaish atakavyo tusipangiane
Ndugu wanakupita kando ukijitenga nao na Kuwa na Mitabia ya ovyo kama ya Sanchoka Sisemi sisi wengine niwasafi la hasha ila kuna mambo ya kufata kama mwanajamii, Mimi sijakupangia kuishi bali ni maoni yangu tu, Btw siwezi kukupangia kwa vile sikujua wala hatujuani
 
Ndugu wanakupita kando ukijitenga nao na Kuwa na Mitabia ya ovyo kama ya Sanchoka Sisemi sisi wengine niwasafi la hasha ila kuna mambo ya kufata kama mwanajamii, Mimi sijakupangia kuishi bali ni maoni yangu tu, Btw siwezi kukupangia kwa vile sikujua wala hatujuani

Sasa kama hunijui sikujui au sanch hakujui umekuja ku quote nyuz zangu ili iweje kama sio kukosa kazi watz pumbav kabisa ndo mana sasa hv weng wenu mmekosa kaz kma haubeti bas kuja kwenye mtandao japo kupunguza machungu ya maisha na bado mntanyooooka
 
Sasa kama hunijui sikujui au sanch hakujui umekuja ku quote nyuz zangu ili iweje kama sio kukosa kazi watz pumbav kabisa ndo mana sasa hv weng wenu mmekosa kaz kma haubeti bas kuja kwenye mtandao japo kupunguza machungu ya maisha na bado mntanyooooka
Pole sana binti wa Kirwanda, Karibuni Dodoma kujiuza Bunge likianza Sijui PAKA anawatuma mje mtupeleleza ila sisi ni kuwagegeda na hamuambulii data zozote
Mungu amewajilia Urembo na sio Wachoyo pia
 
Mshua hizo ni camera angles and posing tricks...in a live social setting,hilo tako ni kilo za kawaida sana...

Hizi camera na picha za madem insta ni mbali kabisa na uhalisia..


Ni kama Masogange alidanganya umma mzima eti yeye ndio ana tako East Africa nzima,jesus christ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...na watu wakaamini eti..

I can tell,wanajua kujipromote aisee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa taarifa.
 
Back
Top Bottom