Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Aliyemteua Naibu Waziri Shonzi kamtia mimba Waziri wake, na kabla ya hapo kampeleka mumewe huyo Waziri China kuwa balozi ili amfaidi huyo mama vizuri.

Labda Waziri Shonzi angeanza kumfundisha maadili huyu Baba ambaye ni mfano kwa taifa.

Maana hata kama nikikubali hawa wasichana wanakosa maadili, inawezekana wanaiga kwa hao mawaziri na anayewateua.

If you live in a glass house, don't throw stones.

What's good for the goose, is good for the gander.

Noblesse oblige.
Mkuu punguza munkari nchi yenyewe sio hii
 
Duuuh!!! Hivi hawa warembo nikiwa na sh ngapi tunaweza angalau tukasikilizana? Niko serious kwa anayefahamu aniambie.
I don't know! i guess huyo ni muuza K huko bongo. ask your people, watakwambia aliko. ila kumbuka ukimwi unaua..
 
Wengi wa hivi utakuta mama na baba walienda mbele za haki,halafu ndugu hua hawawezi kabisa..


Huyu kakaa uchi mwaka wa nne huu hakuna hata mwanaume kamuoa atleast...

Atakua anapata laki 2,3 za kudanga,ila all through kachoka kimaisha tu...

Hawa hua wanajiendesha wenyewe tu,ndugu hawawezi
Mamaye yupo tena anatako ka hilo la mtoto
 
Mkuu punguza munkari nchi yenyewe sio hii
Hahahaaa. Jana nilikuwa naongea na cuz mmoja. Mshua wake bonge la bigwig in the government kitaifa. Nikamuuliza mbona Tanzania haijawakilishwa Davos?

Akaniambia, exact words " I am so removed from all that stuff doesn’t really interest me to be honest , I live in a bubble here in this country". Anasema yeye anajali maisha yake, mkewe na wanawe Ughaibuni huko anakoishi. Hizi habari za siasa za Tanzania hafuatilii.

Nikasema I thought I was bad. You are worse than me. I have to perfect my subtle art of not giving a fvck.

But then I started singing Phil Collin's "Another Day In Paradise".

"Oh, think twice, it's just another day for you and me in paradise...."

It is the burden of intelligence to be ridden with cognitive dissonance.
 
Biashara ya kupapatikia makalio makubwa ilikwisha na awamu ya nne.Awamu hii wa hongaji wakubwa ni kina sisi wa 30,000.
 
Anao ndugu ndio. Mama ake mzazi ni mwalimu na yuko poa tu na kitu anafanya mwanae
Kumbe mamake ni mwalimu....
Ilo demu back in the days linasoma majengo sec 2009 kuingia 2010 lilikua jeusi afu bovu kweli kweli wakiliita Miss Bantu wa HGE...eti nashangaa saivi ni 'mrembo mashuhuri'...
Ama kweli life is a roller coaster!
 
Kumbe mamake ni mwalimu....
Ilo demu back in the days linasoma majengo sec 2009 kuingia 2010 lilikua jeusi afu bovu kweli kweli wakiliita Miss Bantu wa HGE...eti nashangaa saivi ni 'mrembo mashuhuri'...
Ama kweli life is a roller coaster!
Ndio mamake mwalimu. Hata chuo IFM tulikua tunamuona kawaida tu japo shape ilikua inashangaza. Tulikua tunasema ana sura ya baba shape ya mama
 
Back
Top Bottom