Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kaaibisha wachagaNdugu yake mmoja anapiga maji balaa na wamefanana.........
By the way huyu Jackline Rimoy from Kilema Kilimanjaro abadilike......
Mwili wake wenyewe umevimbiana tu Kama matende.....
Hahaa dah nimechekaMama yake yupo hai tena hua anapost picha akiwa na mama yake.
Mama yake ana mtako huyo sanchoka haoni ndani.
Acha TU........Kaaibisha wachaga
[emoji51] [emoji51] [emoji51]Kumbe mamake ni mwalimu....
Ilo demu back in the days linasoma majengo sec 2009 kuingia 2010 lilikua jeusi afu bovu kweli kweli wakiliita Miss Bantu wa HGE...eti nashangaa saivi ni 'mrembo mashuhuri'...
Ama kweli life is a roller coaster!
Mbona hii chuma imekaa poa sana?!
ipo vizuri V6 engine kinanda, HAIJAGUSWA.Mbona hii chuma imekaa poa sana?!
Aisee unaweza kula mtaji wa biashara ili upate uroda na chombo kama hiki.ipo vizuri V6 engine kinanda, HAIJAGUSWA.
chunga sana ARVii zimeadimikaAisee unaweza kula mtaji wa biashara ili upate uroda na chombo kama hiki.
mkuu mbona tunatishana ha ha ha ha kwa msaada wa watu wa marekanichunga sana ARVii zimeadimika
Kwahiyo uchi maana yake nini Mkuu?,, ila kumbuka unapotafsiri maneno hutofautiana kulingana na utamaduni wa sehemu husika kwahiyo uyo dada yupo uchi kulingana na tamaduni zetu.Tatzo wabongo hatujui maana ya neno uchi ila tafsiri sahihi ipo kwa lugha ya kiingereza
Hujaona vitu weweNa kama anao hawamshauri au wanafurahi ndugu yao kuanika mwili wake uchi hadharani??